Mkuu kuna wengine kama sisi ni layman fafanua kama inaweza ikabeba vitu gani,kuna watu wengine hatuelewi watt80 maana yake nini? kama ndo hivyo nafikiria mimi inauwezo wa kuwasha taa moja tu ya watts 80 basi,fafanua,maana nina tv yangu flat imeandikwa nyuma watts 340W,frige nweza nikaatumia,feni,radio,naweza piga na basi?? Fafanua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.