A Beach plot measuring 22123Sqm/ 6Acres,located at bagamoyo tourist destination about 45kms from Dar es salaam city centre.
Price:Negotiable
Contact:+255 717 740 341
HOTEL / GUEST HOUSE ( UNFINISHED- IKO LEVEL YA LENTA ) INAUZWA , INA VYUMBA 40 VYOTE SELF CONTAINER, MAJENGO MAWILI, IPO MOROGORO ENEO KUBWA NA ZURI SANA (nyuma ya stand ya mabus msamvu , Opposite...
Waheshimiwa wanajamvi
Babu yenu hapa nina kapick kangu kalipata ajali hivi majuzi na hivi sasa tunavyoongea tumegundua kuwa chassis imepinda kidogo kwa mbele. Hali hii imepoteza mawasiliano...
BIZ Knowledge bure:
Kunawatu watu wanajiita wajasiriamali lakini wako nyuma kwenye kujitangaza au ndo hawafahamu coz zipo
forum,blog na baadhi ambazo ni free of expressions kusema chochote...
Naona jigambeads.com wanatoa kazi ila kwa njia ya tofauti kabisaaaaaaaaaaa.Hii ni style mpya.
Kwa sasa mnaweza kuwa mnaturahisishia kazi sisi. Hapa hata nikiwa nyumbani naweza kufanya kazi...
Je wandugu kuna mwana jamii humu anaweza kutuhabarisha, kuhusu mzawa anayetengeneza boat za fibre glass hapa nchini? Anwani zake na physical address. Na ubora wa boat zake na viwango kwa ujumla?
---------- ACEAXIS LIMITED --------
100% *OFFICIAL* AUTHORIZED DEALER
100% Brand New in Box Genuine Guaranteed
100% Lowest Price Guaranteed (Price Match May Apply)
100% FULL Warranty with setup...
Ni kutaka kujua tuu juu ya hilli.
Kwani wapo waliopoteza hela zao kwa kutangaza biashara zao, na wapo waliofaidika pia.
Je? Njia rahisi ya kufanya hili na likatambulika kwa haraka ni ipi?
Je, ulishawahi kusikia au kuona mtandao unaowasaidia watanzania kutangaza matangazo yao kwa bei poa?
JigambeAds
TanzaniaKwetu
Mitandao hiyo hapo juu inamwezesha Mtanzania yeyote kutangaza...
Haya wadau asiye na gari na analihitaji msimu umefikia,
Toyota Starlet ya 1999,5 doors, manual, white -minor body repairs chini- 1,999,999TShs.
Toyota Corola 1995, white, manual ,5 door NO...
Zinatusaidia, zinatuhamasisha na pia ni rahisi kuzitumia ni zimejazwa na neno jigambe kwahiyo product zote ni zao
ukiziona usijaribu kuzipita bila kuziclick tupo pamoja wadau.
Habari zenu wadau, nimechoka kukanyagwa na abiria wenzangu wa daladala, nahitaji kuwa na chombo cha kunisaidia kutoka sehem moja mpk nyingine. Nipo Dar, nahitaji gari aina ya TOYOTA OPA ambayo...
Habari wana JF
Leo nimewaletea Toyota voxy. Year-2002, ni auto, inatumia petrol, mile age 80,000km, ina automatic engine startup(yani unaweza kuiwasha ukiwa hujapanda uko nje), ipo katika hali...
Natafuta fundi wa computer,my pc ina tatizo,inahitajika motherboard mpya,aina ya motheboard inaitwa ASROCK G31M-S MOTHERBOARD,msaada Wakuu,kama yupo ani PM,asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.