Wana JF,
Nakuja kwenu naomba mnisaidie mwanaJF mwenzenu mkopo WA Mil 6, hata kwa riba ambapo nitaanza kulipa baada ya mwezi mmoja. Nina gari na kiwanja. Gari daladala naweza kuacha kadi...
Nyumba inapangishwa Kimara Temboni kwa Tshs. 250,000 kwa mwezi ; 2rms and one big master bedroom, sitting and a dining room, public wash room, kitchen, store. The house will be available by end...
Ndugu zangu,
Natafuta magari mawili USED na yawe Tanzania. Either in a show room or personal.
1. Toyota Harrier 2000 to 2002 make, 2200cc, 5 doors, radio, CD player, SRS airbag
2. Toyota Mark X...
Habarini wanaJF,siku za nyuma (mwaka jana) kulikuwa na thread iliyohusu namba za kuweza kuzuia cm yako isipatikane endapo mtu anakupigia au kutuma meseji bila ya kuzima,simu inakuwa hewani kama...
Wiki ilioyopita nliuza used bajaj yangu 2stroke(miguu 3) kwa 1.5ml
sasa nauza na zilizobakia kwa bei chee tsh 1ml na 1.8ml zipo 2 na zinafanya kazi moja ya 2010 nyingine ya zamani kidogo
tafuta...
Nauza sukari kilombero 25kgs kwa shilingi 48,500/= kwa wanunuzi wa Dar tuu. usafiri kwako oder isipungue mifuko 100. piga simu 0683-501-203 wahi haraka kuna stock kidogo.
Watanzania wenzangu, ninakuja kwenu nikihitaji mkopo wa milioni tano, nirudishe mwezi january mwishoni. naweza kupaki gari lakini pia nidhaminiwe na mhasibu wa ofisi ikiwezekana. pamoja na spouse...
Kwa wale wapenzi wa simulizi,Ni simulizi kali na ya kusisimua iitwayo(USIKU WA GIZA)itakayo anza leo saa moja jioni bila kupoteza muda.ni palepale(www.jomla.wen.su)usikubali kuadisiwa!
Nyumba kubwa nzuri ya Ghorofa Moja vyumba 4 na cha 5 ni masterbedroom min library na vingine muhimu vya ndani inauzwa kwa bei nzuri eneo la kwa mrefu karibu na Cet Garden mt.200 kutoka barabara...
Hello Wakuu, nahitaji brand new laptop with these specs:
4GB ram, intel core i3 and above, 500GB hdd, 14inch screen size, iwe dell, hp au hp compaq, nina 900,000/=
Contact me through...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.