Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana JF, Nakuja kwenu naomba mnisaidie mwanaJF mwenzenu mkopo WA Mil 6, hata kwa riba ambapo nitaanza kulipa baada ya mwezi mmoja. Nina gari na kiwanja. Gari daladala naweza kuacha kadi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyumba inapangishwa Kimara Temboni kwa Tshs. 250,000 kwa mwezi ; 2rms and one big master bedroom, sitting and a dining room, public wash room, kitchen, store. The house will be available by end...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji desktop, preferences: at least 1gb of RAM nichek kwny 0717543373
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Ndugu zangu, Natafuta magari mawili USED na yawe Tanzania. Either in a show room or personal. 1. Toyota Harrier 2000 to 2002 make, 2200cc, 5 doors, radio, CD player, SRS airbag 2. Toyota Mark X...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habarini wanaJF,siku za nyuma (mwaka jana) kulikuwa na thread iliyohusu namba za kuweza kuzuia cm yako isipatikane endapo mtu anakupigia au kutuma meseji bila ya kuzima,simu inakuwa hewani kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, natafuta gari ndogo aina ya Vitz iliyo ktk hali nzuri, nipo Dar. Budget Mil.6 Contacts: 0715-988888
0 Reactions
4 Replies
2K Views
natafuta micro sd card ya 16gb..naweza nikaipata kwa sh ngap na wap?me npo arusha!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wiki ilioyopita nliuza used bajaj yangu 2stroke(miguu 3) kwa 1.5ml sasa nauza na zilizobakia kwa bei chee tsh 1ml na 1.8ml zipo 2 na zinafanya kazi moja ya 2010 nyingine ya zamani kidogo tafuta...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba ushauri kuhusu Land Rover Discovery V8 ya 1997 sana sana kwenye matumizi ya mafuta na spea
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Nauza sukari kilombero 25kgs kwa shilingi 48,500/= kwa wanunuzi wa Dar tuu. usafiri kwako oder isipungue mifuko 100. piga simu 0683-501-203 wahi haraka kuna stock kidogo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja maeneo ya Buza; Kiwe kina hati au Title Deed.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaribuni kutembelea hii blog kwa nyimbo mpya udownload bure www.dnmwanga.blogspot.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kama unahitaji nyumba nipm.ina vyumba tisa.haina quality sana.maelewano hadi ukiwa umeshaiona.mia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni tetesi tuuuuu
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ninauza kiwanja kipo KIBADA MRUNGU,DAR ES SALAAM,Ukubwa ni robo Heka,Bei ni 5million.CALL 0767405200 or krubeya@yahoo.com,Serious buyer only.
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Watanzania wenzangu, ninakuja kwenu nikihitaji mkopo wa milioni tano, nirudishe mwezi january mwishoni. naweza kupaki gari lakini pia nidhaminiwe na mhasibu wa ofisi ikiwezekana. pamoja na spouse...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa simulizi,Ni simulizi kali na ya kusisimua iitwayo(USIKU WA GIZA)itakayo anza leo saa moja jioni bila kupoteza muda.ni palepale(www.jomla.wen.su)usikubali kuadisiwa!
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nyumba kubwa nzuri ya Ghorofa Moja vyumba 4 na cha 5 ni masterbedroom min library na vingine muhimu vya ndani inauzwa kwa bei nzuri eneo la kwa mrefu karibu na Cet Garden mt.200 kutoka barabara...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hello Wakuu, nahitaji brand new laptop with these specs: 4GB ram, intel core i3 and above, 500GB hdd, 14inch screen size, iwe dell, hp au hp compaq, nina 900,000/= Contact me through...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Simu hizo zinauzwa Kama wahitaji ingia PM fasta. Bidhaa zipo dar
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom