Nyunba inapangishwa Lindi

Nyunba inapangishwa Lindi

Ndamwe

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2008
Posts
244
Reaction score
177
Kuna nyunba katika manispaa ia Lindi, eneo la Mtanda ambayo inapangishwa kuanzia mwezi wa Julai 2012. Pango lake ni US $ 250 kwa mwezi. Nyumba iko katika eneo la sqm 2200 na facilities za kuegesha gari, fensi, naji muda wote nk. Kwa watakaohitaji tafadhali waweza kupiga simu 075491226 AU 0788140488 AU 0715002999 kwa maelezo zaidi, au Email: ndamwe@gmail.com.
 
mkuu kumbe lindi maisha yapo juu hivyo/ maana heading nilidhani mtaa wa lindi ilala kwa wapemba
 
Kuna nyunba katika manispaa ia Lindi, eneo la Mtanda ambayo inapangishwa kuanzia mwezi wa Julai 2012. Pango lake ni US $ 250 kwa mwezi. Nyumba iko katika eneo la sqm 2200 na facilities za kuegesha gari, fensi, naji muda wote nk. Kwa watakaohitaji tafadhali waweza kupiga simu 075491226 AU 0788140488 AU 0715002999 kwa maelezo zaidi, au Email: ndamwe@gmail.com.

mkuu iyo nyumba ni ghorofa ya silipi au ni ikulu ndogo! maana huku kwetu lindi hakuna nyumba inayolipwa kwa dola, na wamwele na wamakonde hawajui kama kuna kitu kunaitwa dollar. Hadhi ya hiyo nyumba kwa lindi ni laki 2 tu, na tena labdauwapate wachina au NGO! sio mtu binafsi! Laki 4 kwa lindi labda nyumba moja ipo muhumbili ya jamma wa Tan road inaweza kuwa nathaani iyo na sio nyumbaza mtanda ambazo nyingi ni magofu tu!
 
Back
Top Bottom