Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 244
- 177
Kuna nyunba katika manispaa ia Lindi, eneo la Mtanda ambayo inapangishwa kuanzia mwezi wa Julai 2012. Pango lake ni US $ 250 kwa mwezi. Nyumba iko katika eneo la sqm 2200 na facilities za kuegesha gari, fensi, naji muda wote nk. Kwa watakaohitaji tafadhali waweza kupiga simu 075491226 AU 0788140488 AU 0715002999 kwa maelezo zaidi, au Email: ndamwe@gmail.com.