kiwanja kinauzwa, kipo madale karibu na kawawa, ukubwa robo heka, bei 6.5 million kuna maelewano, hakijapimwa na kiko tambarare na sehemu inafikika, contact 0715 696920/ 0787585860 / 0786 670...
Mashine hii ni kali na ya kisasa. Ni nyembamba na Nyepesi features zake ni kama zifuatavyo
Intel® Core i3 Processor
Genuine Windows® 7 Professional 64-bit
4GB DDR3 memory
500GB hard drive
DVD...
Registered,duty paid. White/5 doors/1,331 cc. Model EE111/engine 4E.
No dent/ lady driven/in DSM only/ for further question please PM or call 0655.280264
Habari zenu.
Natafuta used photocopy machine yenye ukubwa na uwezo wa kufanya kazi, kwenye makazi ya wanachuo. Mwenye taarifa zozote na hii kitu tafadhali anipm tuwasiliane.
Nahitaji nyumba ya kupanga, vyumba 3-4, iwe na Master BR, KITCHEN, PUBLIC TOILET, SITTING ROOM, DINNING AREA NA STORE, IWE NA GATE (Secured Compound)
Maeneo: Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Survey...
Jamani wana jamii nawaomba mnielekeze duka linalouza cartridge refill kit kwa ajili ya printer nikiwa na maana ya wino wa printer,naomba nijulishwe duka liko mtaa gani na jina la duka.asante.
Iwe na speed ya kutosha,uwezo mkubwa wa storage (storage capacity) & laptop must have Dvd RW,niPM pls ukiweka specification za hiyo laptop/netbook uliyo nayo na bei
Nahitaji typist awe na uwezo wa kutumia computer na vifaa kama photocopier, fax, binding machine etc.Awe amepitia mafunzo ya Typing na amesoma aplications za computer kama vile Ms word, Ms excel...
Hello Great thinkers!
I am looking to sub-contract the finishing of a 2-storey, 4 bedroom Residential house with a total building gross area of 256.5 sqm.
The superstructure of the house is...
Natafuta mahali ambapo naweza pata CD za jumla zile za kibongo na zile zisizo za kibongo. Nawaombeni na bei zake kama kuna mtu ana detail za mahali zinapatikana
jaman nimesikia kuna walaka umeandikwa ukiwataka viongoz waliopo madarakani wajiuzuru.kama kuna anaeujua anitumie kwenye email yangu* obeidtheophil@yahoo.com
Nyumba inauzwa Keko Mwanga,karibu na kanisa la keko, kubwa ina vyumba sita,uani ina vyumba viwili,ina frem ya duka, maji na umeme. imezungushiwa ukuta.
Bei yake ni T shilings milioni 50
kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.