Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ebana wakubwa mwenye netbook anauza inahitajika na mm mwnyw' iwe na hdd isiyopungua 160 gb, ram 1 gb.... Ikiwa hp au dell au samsung itakua makini zaidi. Ofa ni 350,000/=. Unayo fanya kuni PM au...
0 Reactions
3 Replies
998 Views
kwa yeyote ambaye anayo plz nahitaji kujua bei..
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Samsung LN32D403 LN32D403 32" 720p LCD TV 0.0 0 $279.99 - $334.00 LCD HDTV:Now experience a mesmerizing picture quality with the 32-inch LN32D403 LCD HDTV from Samsung.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari ya leo wakuu, Mwaka ndio unaisha hivo & ktk nyakati hizi watu husafiri kwenda mikoani walikozaliwa kutembelea ndugu, jamaa & marafiki wa kitambo. Je umejiuliza ni zawadi gani inafaa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ZIMEBAKI KEYBOARD 3 TU AINA YA DELL NA BEI CHEE, JIPATIE KWA TSH. 6500/= tu. My number, 0713133633
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam Wadau, Ninanunua Dell/HP monitor used/working au mpya,offer yangu ndio hiyo. Hata kama ni >15" I will not mind. Please PM me or rakeyescarl@yahoo.ie
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Have you visited me ? Kids Fun Spots(GAMES SECTION), Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc.. Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kuna eneo linalomilikiwa na mtu binafsi liko Ngamatatate Geita Mkoani Mwanza ambalo limegundulika kuwa na madini ya dhahabu na hii ni kutokana na utafiti uliofanyika katika kipindi cha nyuma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mambo wadau, Bold 9700 inauzwa kama kawaida. Bei ndo hiyo ya kutupa 320,000... Nichek kwa air 0655003510 au PM me.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo mbweni kina 30*40m bei 40M, kuna Shamba lipo kigamboni mwasonga karibu na Dar es Salaam Zoo heka 7 bei 15M, kuna Shamba lipo Visiga Madafu Kibaha, linafaa kufuga, kufungua shule Heka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kipo eneo la Mbezi Beach Makonde upande wa kushoto ukitokea Mwenge kuelekea Tegeta. Kina ukubwa wa mita za mraba 1000. Hakina Hati Miliki.Jirani kapima na Hati Miliki. Bei 40mil. Kwa mawasilianao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau mm ninauza machungwa kwa jumla, npo Tanga kwa hyo yeyote atakaye penda tufanye biashara itakuwa vyema iwe ndani au nje ya nchi kima cha chini chungwa 50000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima wakuu, nimechoka kutumia simu za aina ya nokia na nahitaji aina ya erricsson. Wapi kwa hapa Dar nitapata simu za aina hiyo na toleo lipi ni zuri zaidi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani wadau naombeni ramani za nyumba nzuri anisaidie au kama unajua website yenye nazo itafaa pia. Asanteni kwa ushirikiano.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
mchuma huo unauzwa shs M6 tu anaondoka na mchuma, ni manual t, gia tano, ina dif, cc 1400, mwaka 1992, iko katika hali nzuri unajaza mafuta unasepa. Lete mapesa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kimepimwa kina Hati Miliki, kipo katika maeneo yaliyopimwa na yaliyopangiluwa vizuri. Kina ukubwa wa mita za mraba 1735. Kipo upande wa kushoto ukiwa unaelekea Bagamoyo, umbali wa kilomita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kerege ipo mbele ya Bunju na Mapinga . Shamba limegawanywa vipande, pametengenezwa barabara za mitaa. Kila kipande cha mita 20 x 20 kinauzwa kwa shilingi 2.5mil. Eneo hilo limetengwa kwa ajili...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom