ebana wakubwa mwenye netbook anauza inahitajika na mm mwnyw' iwe na hdd isiyopungua 160 gb, ram 1 gb.... Ikiwa hp au dell au samsung itakua makini zaidi. Ofa ni 350,000/=. Unayo fanya kuni PM au...
Habari ya leo wakuu,
Mwaka ndio unaisha hivo & ktk nyakati hizi watu husafiri kwenda mikoani walikozaliwa kutembelea ndugu, jamaa & marafiki wa kitambo. Je umejiuliza ni zawadi gani inafaa...
Salaam Wadau,
Ninanunua Dell/HP monitor used/working au mpya,offer yangu ndio hiyo.
Hata kama ni >15" I will not mind.
Please PM me or rakeyescarl@yahoo.ie
Have you visited me ? Kids Fun Spots(GAMES SECTION), Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc..
Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family...
Wadau kuna eneo linalomilikiwa na mtu binafsi liko Ngamatatate Geita Mkoani Mwanza ambalo limegundulika kuwa na madini ya dhahabu na hii ni kutokana na utafiti uliofanyika katika kipindi cha nyuma...
Kiwanja kipo mbweni kina 30*40m bei 40M, kuna Shamba lipo kigamboni mwasonga karibu na Dar es Salaam Zoo heka 7 bei 15M, kuna Shamba lipo Visiga Madafu Kibaha, linafaa kufuga, kufungua shule Heka...
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
Kipo eneo la Mbezi Beach Makonde upande wa kushoto ukitokea Mwenge kuelekea Tegeta. Kina ukubwa wa mita za mraba 1000. Hakina Hati Miliki.Jirani kapima na Hati Miliki. Bei 40mil. Kwa mawasilianao...
Wadau mm ninauza machungwa kwa jumla,
npo Tanga
kwa hyo yeyote atakaye penda tufanye biashara itakuwa vyema
iwe ndani au nje ya nchi
kima cha chini chungwa 50000
Heshima wakuu, nimechoka kutumia simu za aina ya nokia na nahitaji aina ya erricsson. Wapi kwa hapa Dar nitapata simu za aina hiyo na toleo lipi ni zuri zaidi?
mchuma huo unauzwa shs M6 tu anaondoka na mchuma, ni manual t, gia tano, ina dif, cc 1400, mwaka 1992, iko katika hali nzuri unajaza mafuta unasepa. Lete mapesa
Kimepimwa kina Hati Miliki, kipo katika maeneo yaliyopimwa na yaliyopangiluwa vizuri. Kina ukubwa wa mita za mraba 1735. Kipo upande wa kushoto ukiwa unaelekea Bagamoyo, umbali wa kilomita...
Kerege ipo mbele ya Bunju na Mapinga . Shamba limegawanywa vipande, pametengenezwa barabara za mitaa. Kila kipande cha mita 20 x 20 kinauzwa kwa shilingi 2.5mil. Eneo hilo limetengwa kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.