RORYAKWETU
Member
- Nov 18, 2011
- 83
- 13
Ni Toshiba 5oogb.tsh 120,000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm .Imesahihishwa
Nikupe 9000?haina matatizo?ni pm kwa mapatano kama inawezekana.
Ni Toshiba 5oogb.tsh 12000 inapungua kidogo. kama unahitaji ni pm
Loooo !! Hizi biashara za bongo, bei yako ni 12,000/=
Tizo1 anazo 9,000/=
Unataka aongeze 20,000/= achukue mzingo. Kwa hiyo bei yako ni 29,000/= na siyo 12,000/=?
Hii bei ni buku 12 au laki 1 na 20 mi cmuelewi
wabongo kwa majungu bwana, hakuna binadamu aliyekamilika 100%. sawa tufanye biashara sasa