Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Haya sasa nimewawekea na picha kabisa,sitaki kuuza mbuzi kwenye gunia,bofya attachment hapo chini
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza palm top tungsten t5! .Ipo katika hali nzuri,bei 120,000!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kichwa cha habari hapo juu chausika...ni PM nikutafute fasta
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Bei 150,000 size 320GB Muuzaji nipo dar Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha??,,,nashkuru sana..
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kipo maeneo ya Tatedo umbali wa kilomita 3 1/2 kutoka New Bagamoyo Road.kimepimwa na kina hati miliki. Bei 50mil. Kwa mawasiliano piga simu 0784225000 au tumia hii barua pepe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WanaJF Ninaomba msaada: Ninahitaji jengo la ofisi kama vyumba 2 au 3. Maeneo ninayopendelea yawe: Along Ali Hassan Mwinyi Rd, Msasani kwa Nyerere, Kijitonyama, Masaki na Upanga. Hata kama ni mtaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndg wanajamii nauza kiwanja eneo la burka kusini lina upana wa mita 65 na urefu wa mita 120 sawa na heka 1 na nusu. mwenye kuhitaji anishtue.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Huu mwezi ni wakati wa Wabeba boksi wengi kuja kula krismas home baada ya mihangaiko ya kusaka maisha ughaibuni ,karibuni sana sisi Wala vumbi tunaasubirieni kwa hamu,ila sasa mjitahidi kupunguza...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wana Malangali na wote wenye mapenzi mema na shule kongwe ya Malangali iliyoanzishwa tarehe 16/4/1928, kwa niaba ya kamati tendaji ya muda ya Malangali Alumni Association, napenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba 4 master bedroom 1 vyumba 3 va kawaida sitting room dinning ipo mikocheni b nyuma ya coca cola karibia na academic international school kodi: Laki 6 kwa mwezi. Kodi ya mwaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kuna mtu mwenye dell d620 ambayo iko katika hali nzuri kabisa na yyko tayari kuiuza kwa Tshs 350000 anaweza ni pm.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii, naomba msaada kwa yeyote anaeweza kunipa taarifa sahihi ya uwezekano wa kupata kiwanja cha makazi maeneo ambayo ni nje kidogo ya mji wa Dar es salaam lakini si mbali sana kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
aina ya FUJIFILM MX - 1200 1.3 mega pixels Full set up with quality pictures Dc in 5V Memory card, Normal display, Price Tsh 40,000 only. Call 0713133633
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Looking for a complete engine of Make: suzuki Model: kei, Engine # F6A, Chasis: GF-HN11S, year: 2000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nataka kununua min laptop kwa matumizi ya kazi shule na burudani binafsi...ofcoz itakua ni ku handle simpo task tu...so ningependa kufahamu ipi ni njema kati ya brand nyiiingi zilizopo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WANA JF,NAHITAJI DISPLAY YA DELL LATITUDE XT2,KWA YEYEOTE ANAYEJUA INAPOPATIKANA AN IPM. MODEL HII NI TOUCH SCREEN NA SCREEN YAKE INAZUNGUKA 360 DEGREES THANKS :poa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waombolezaji wakiondoa jeneza lenye mwili wa Mkurugenzi wa zamani wa Mkuu wa Radio Tanzania Dar es Salaam (TBC), David Wakati, baada ya misa ya kumuombea iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
nicheki kama una bold 9700 na unauza kwa 300,000/=. 0655003510
0 Reactions
4 Replies
1K Views
new Iphone 4s 32Gb for sell 3 days old in bongo land USD 1200 inakuja na cover ya uhakika na screen protector ya kiyoo cha nyuma na mbele na ukitaka ma apps over 100 tunakurekebishia...Mawasiliano...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom