TRACE
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 120
- 46
Habari wana JF.Ninauza kiwanja changu kilichopo Kimara Kilungule chenye saizi ya 18x14m.Nilikinunua miaka kama miwili iliyopita.Kipo sehemu ya juu na hakihitaji hata kusawazishwa ili ujenge.Sababu ya kukiuza ni kutaka kupata hela na kufanya kitu kingine.Barabara ipo mpaka site na umeme pia.Ni umbali wa 200m kutoka Kimara Kilungule - Kiwanjani.Bei ni Milioni 7.5 na maongezi yapo.Kwa mawasiliano tumia 0716 322169 au 0784 505171.Karibuni