Gari ikiwa kwenye silence haitulii na inakuwa inatingishika na ni kero kwenye foleni. Nimekuwa na mafundi watatu bila suluhu na naona hawajajua kiini. Nimebadili plug, nimenunua radiator,feni imefungwa direct, exhaust imebadilishwa mara mbili lakini tatizo halijaisha.