taa ya ajabu kivipi? taa ya kutoa mwanga au? watts ngapi? inatumia solar, tanesco au betri za kawaida? yan uajabu wake ni upi hasa? heb mwaga nyuz si unajua umeme umepanda bei?
Asante mkuu,
Kama si usumbufu kwako, nilishapost matangazo mengi tu hapa kuhusiana na hii taa ya ajabu. Ebu search utaona.
Karibu
Wewe ndio unaefanya Marketing halafu watu waanze ku search? si mwaga data hapa. Halafu haya mambo ya PM ya nini na wewe unafanya marketing? Weka vitu hadharani halafu tetea bidhaa yako. Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Social media is a great way to market your business for little or no money. But it's not something you can set up and walk away. You have to invest time in order to see rewards. It's important to engage with your followers regularly and to be consistent with your interactions. The more you do this, the more likely you are to sell your products and services.
Nimeku-pm mkuu
FF ni rahisi sana kumsadia mjinga utamwelewesha na atakuelewa kuliko kuanza kujadiliana na mpumbavu kama huyu ambaye hajui kama anauza kibatari,mwenge, chemli,solar, vijinga vya moto,taa za betri yeye anataka watu wampm. Kwani tunatongozana hapa!? Kama ni biashara ajimwage uwanjani kama wenzake sio mashairi ya kutongezea ma haouse girl hapa.
acha kuwa na mdomo mchafu....