cars 4 sale

cars 4 sale

Hiyo ID yako tu imenifanya nisiulizie kama unazo gari aina gani!
 
kinyeo, mie natafuta mercedes benz class E.....

mwenye kuiuza ni vizuri awe na sifa zifuatazo...

1. ajue kabisa hii ni ndoa ya kikristo...talaka ni kama hamna...hivyo ajue kuwa sitegemei sana kubahatika kuliuza baada ya hapo

2. awe ameitunza na kwamba ameishiwa space au kapanda chati zaidi...isiwe kimeo

3. awe tayari kuipima DT dobie kuwa ni nzima kabla kukabidhiana.....

4. ajue kabisa kuwa nafahamu kuagiza na kulipa ushuru wa benz reasonable la namna hii japan au uk inaweza kuckok 5 milion..

4. akubali kupokea si zaidi ya milioni tatu.....itategemea ubora wake

naomba response au nipm please!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom