Wakuu black berry 8520 inauzwa haraka imetengenezwa hungary imenunuliwa uk. Bei tshs 700,000/= kama kuna mtu yupo tayari imebakia moja na nokia double line (new) inauzwa tshs 500,000/= kama kuna...
1) Flash Disks ya aina ya TOSHIBA.
2gb- 9,000/-
4gb- 10,500/-
8gb- 12,500/-
* With 1 Year Warranty.
* Hii bei ni kwa 5pcs na zaidi.
* Special for RESELLERS.
2) Memory SD Cards (for...
Ndugu wadau wa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nimefurahishwa sana na watu wanavyojishughulisha na ufugaji wa kuku hasa wa kienyeji. Mimi nimenza mradi huu kama miezi mitatu sasa. Nina kuku watano...
habari wakuu..
Kiwanja kina ukubwa wa nusu eka 70*35 kinauzwa mil 8 kipo maeneo ya kiluvya kwa komba ni jirani kutoka barabarani(morogoro road),maji yapo,umeme upo na barabara ni nzuri mpaka...
Wakuu kwa mwenye kuweza kunisaidia kufanikisha kupata chumba maeneo hususani Ubungo, Mwenge, au Mabibo nitashukuru, Bajeti Tzs 50,000 kwa chumba pekee au Tzs 100,000 kwa chumba na sebule au chenye...
SPECIFICATIONS FOR TOSHIBA SATELITE
processor ni 2.2 duo core
ram ni 2gb
hdd ni 500gb
webcam
wireless internet
SATELITE
NI MPYA IMETUMIKA WIKI TATU TU (BRAND NEW)
price...
sina utaalam nayo ni machine ya kutengenezea hayo mawe, hiko Poland, inauzwa mil 60 Tsh, pamoja na kukusafirishia mpaka Dar, mwenye nayo kaniomba nimtafutie mnunuzi, kama utakuwa unaijua na kuna...
NINAUZA HIACE NISSAN QD CARAVAN KWA YEYOTE ANAYEHITAJI INA MWAKA MMOJA TU TOKA NIIAGIZE JAPAN BEI YAKE INAANZA NA M 13 MAELEWANO YAPO.KWA WALE WA ARUSHA INAPIGA TRIP ZA KWANGULELO NA TOWN KWA...
Nahitaji Toyota Vitz nina 5ml maongezi yapo mpaka gari niione,Namba kuanzia B...
Zinahitajika Land Rover Diffender Station Wagon 2 zilizo simama offer 30ml namba nazenyewe ziwe B
Mwenyekusikia...
Generator kubwa zinauzwa..Specification: Rolls Royce model driven by Caterpilla engine,
output ni 180kva +20% made in UK.
zimetumika Uingereza 300 hrs.zInawafaa zaidi wenye mahitaji makubwa kama...
Wana JF,
Wakuu, mwenye kuzijua hizi pikipiki tafadhali sana naihitaji hii pikipiki ya Bajaj Discover 150cc mpya au hata kama iliyotumika nikiridhika nayo tunamalizana.
Mwenye info...
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili limegawanywa katika maeneo madogo madogo kadiri ya mahitaji ya mtu kuanzia ukubwa wa 20 x 20. Maeneo hayo madogo madogo yamepimwa. Bei kuanzia 2.5mil kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.