Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
Nauza sanyo air cooler yenye uwezo wa kupoza hewa kwa kutumia maji na barafu. Inafanya kazi kama feni ila upepo wake ni bora kuliko wa feni na si kama wa ac... Ina facility kama swing, cool, timer, na speed tatu tofauti. Inavifuko vya gel inayogandishwa kwenye freezer na kutumika kupoza maji yanayoasababisha hewa kuwa baridi...
Haitumii sana umeme kwani ina watts 120tu...
Bei ni laki mbili na nusu maelewano yapo.
Nb: ukigoogle sanyo air cooler utaona maelezo zaidi.
PIGA SIMU 0714881500 KWA MAWASILIANO ZAIDI. Ukinipm naweza kuchelewa kujibu kwani situmii internet kila mara.
Haitumii sana umeme kwani ina watts 120tu...
Bei ni laki mbili na nusu maelewano yapo.
Nb: ukigoogle sanyo air cooler utaona maelezo zaidi.
PIGA SIMU 0714881500 KWA MAWASILIANO ZAIDI. Ukinipm naweza kuchelewa kujibu kwani situmii internet kila mara.