Nataka semetrela scania 113 horse power 320 elio kwenye hali nzuri tairi safi rangi na engine bomba scania na trela yake trela yake bei iwe reasonable sms 0787139327
Hii ni Camera ya kazi inawafaa wale wenyekushughulika na uandishi wa habari au wenye kushughulika na mambo ya shooting movies n.k.Ni Camera nzuri sana na imetumika lakini ipo katika hali nzuri...
Wanaojua au wenye kufanya biashara hiyo kuna mwanafunzi mmoja toka nje ya tanzania atakua kutembelea Tanzania. Anapendelea furnished studio badala ya hotel. Ni mwanafunzi hivyo anahitaji cheap...
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40
BEI: MIL 25
SIFA YA KIWANJA
ENEO LINA HATI MILIKI HALALI
KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA
GARI AINA ZOTE ZINAFIKA...
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40
BEI: MIL 25
SIFA YA KIWANJA
KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA
GARI AINA ZOTE ZINAFIKA MPAKA KATIKA KIWANJA BILA...
Na mwana wa mwanadamu ana hita mahali pa kuweka kichwa!
Eniwei, wakubwa..nahitaji kachumba cha kupanga Dar..ningependelea chenye bedroom,jiko, bafu/choo, na sebule..but all available otpions are...
Nina all in one lexmark x543dn boxed iko mwanza na kyocera printer na acer laptop na digital camera tatu boxed za kuuza kama mtu anazitaka ani pm nimuelekeze sehemu ya kwenda kuziona
Make - Iveco
Model - Ford
Body Type - Truck
Colour - White
Class - Heavy load (GVM > 3500 kg)
Year of Manufacture - 1996
Engine Capacity - 5861
Fuel - Diesel
No. of Axles - 2
Axel...
Ina 12MP Camera,carl zeiss optics,)inatoa picha vizuri sana)xenon flash,16GB internal memory,GPRS/EDGE,WLAN IEEE802.11b/b/n,(unaweza kuunganisha internet kwenye computer na ukaperuz page kama...
nna nokia E71 na nokia 6730 clasic... Zote nimezitumia ila zinaperform kama kawa... hazina utaata,. Labda hiyo 6730 ile plastic ya juu ya kioo ina crack pembeni ila kioo kipo safe n sound...
JVC 3CCD Camcorder model GZ-MG505
Imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na haina matatizo.Screen 2.7 inch,Optical zoom 10x,Storage media type..Hard disc drive 30GB,5 Mega pixel steel...
Kawasaki FA130 Petrol engine 3 inch.Inakuja na outlet pipe mbili ambazo zina urefu wa futi 18.Imetumika kidogo sana nchini uingereza lakini imeshafika Dar na bei ni shs 900,000 na kwa maelezo...
Nauza gari ya abiria ambayo ina viti 32 na ipo katika hali nzuri kabisa na inafanya kazi ya shule.Aina ya basi hii ni Mercedes Benz ambayo vipuli havina shida na engine ni 4lt automatic na ni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.