Ni brand new VST SHAKTI MITSUBISHI POWER TILLER 130 di wiith full impliments 1.5Ton Trailor, Rotovator, Mould Board Plough,Harrow, Cage Wheels and a set tools (Tool box)
ipo Dar, Bei 10 million...
Wakubwa,
Natafuta mtu alie na office atakaekubali ku-share office na kampuni yangu. Mimi ninahitaji office table na kiti tu. Niko Arusha office location iwe close to City Center. niko tayari...
Tunafuraha kuwatangazia watanzania wote kwamba kampuni ya ranchi za taifa sasa imedhamiria kuwalisha watanzania nyama yenye ubora wa kimataifa na salama kwa afya na matumizi kwa binadamu.
Karibu...
Hello Wana jamii,
Napenda Kuwatangazi kuwa gari hii ( Pichani ) inauzwa kwa bei che... wahi sasa.
Tafadhali wasiliana na Bwana Salim Kwa number zifuatazo:- 0655 506003 au 0784 506003
"KONGWA BEEF" ni nyama yenye hadhi ya ki-mataifa inayozalishwa na shirika la umma lililo chini ya wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi
1. Ni nyama inayoandaliwa na kampuni ya ranchi za...
Ni hii motorola Droid pro XT610 ilikuwa inatumika USA tatizo ku unlock nionesheni mtaalam wa ku unlock simu hiyo na pia gharama ya ku unlock hebu mnisaidie niweze kuitumia kama unajua mtaalam...
Eneo linauzwa heka moja na nusu price 12mil.
Mazungumzo yapo , Eneo lipo Miembe saba baada ya kwa matias kibaha
eneo lipo KM 0.5 toka barabarani, eneo lipo karibu na maji na umeme tuwasiliane kwa pm
Wakuu nilikua natafuta desktop computer mpya!hizi ni specification zake
Aina ya computer DELL,Intel Core i 3, 2gb memory
Kwa mwenye nayo hebu anipe bei!naweza kuwa mteja wake
Asanteni sana
Habari wakuu,
naomba mwenye ufahamu wa haya magari aniambie.
Gari gani ni nzuri zaidi kati ya toyota duet na toyota vitz zote zina engine sawa (950cc)
tofauti ninayohitaji ni kwa upande wa...
Wakuu,
Poleni na shughuli za ujenzi wa taifa,
Niko na IPAd 2 iko sokoni,used for 2 months,imported straight from us.
Specs,16gb,No 3g ,Leather case & Bluetooth Keyboard
Iko pamoja na vifaa...
ni simu nzuri sana imedesigniwa vizuri ni nokia x 7, double line lakini haziwi hewani kwa wakati mmoja ni za kuselect kwa mawasiliano No 0712480100,0767480105
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.