bei hiyo kubwa sana kwa gari la miaka 18. mbona unataka kulangua watu?
hujaandika chochote zaidi mileage, owners wangapi wametumia, na bei uweke ya Tshs sio dola. wizi mkubwa sana nyie wauza magari kwa bei kubwa ni shida au tamaa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.