kaka hapo penye red ndio nasikia leo ndio nini hicho kakahabari zenu wanajamvi! Mwenye external cd room inahitajika, iwe ni dvd writer. Ukiwa nayo nipm tafadhal, specification pamoja na bei ni muhim. Ahsanten!
kaka hapo penye red ndio nasikia leo ndio nini hicho kaka
kaka hapo penye red ndio nasikia leo ndio nini hicho kaka
kaka hapo penye red ndio nasikia leo ndio nini hicho kaka
Sawa ''mwenye fani'' nimekuelewa ROOM na ROM ni maneno yaliyosawa,ngoja ni google nipate kuelewa ,wenye fani mnajua kila kitu bana ,ngoja tuwapishehuenda sio fani yako kama kweli uko serious. anyway, namaanisha Read Only Memory (ROM) au "MLANGO" (kwa lugha za kibongo), (External) yaan mlango wa nje usio wa kupachika kwa ndani kama ilivyo ya kawaida. Natumai sasa umeelewa labda kama unaswali lingine tafadhali?
Mtu hakatazwi kukosea!Sawa ''mwenye fani'' nimekuelewa ROOM na ROM ni maneno yaliyosawa,ngoja ni google nipate kuelewa ,wenye fani mnajua kila kitu bana ,ngoja tuwapishe
habari zenu wanajamvi! Mwenye external cd room inahitajika, iwe ni dvd writer. Ukiwa nayo nipm tafadhal, specification pamoja na bei ni muhim. Ahsanten!
exactly ndiyo ninayoitaka, ila unaiuza ghali sana and, why is not Tsh.?
exactly ndiyo ninayoitaka, ila unaiuza ghali sana and, why is not Tsh.?
habari zenu wanajamvi! Mwenye external cd rom inahitajika, iwe ni dvd writer. Ukiwa nayo nipm tafadhal, specification pamoja na bei ni muhim. Ahsanten!