Ipo mkuu nokia 7610 mpya imetumika miezi 4
Ipo mkuu nokia 7610 mpya imetumika miezi 4
Uliyonayo ni ipi ile ya ku-slide au ya kwaida?
Naweza ku kuzia blackberry torch 9800 yangu kama ujafanikiwa, ni used 2 months
njoo nikuuzie hii ya kwang nokia ya toch! Unapata chaji,headphone,betri mbili original,kobe,kitabu cha maelezo kuhusu simu, box lake, + vocha ya sh. 1500/= Yangu ni Nokia E5 imetumika miezi minne
njoo nikuuzie hii ya kwang nokia ya toch! Unapata chaji,headphone,betri mbili original,kobe,kitabu cha maelezo kuhusu simu, box lake, + vocha ya sh. 1500/=
Duuh laki 6 kwa kweli uko napelea