Wakuu heshima zenu!nimefungua ki hardware kangu huku dar!sasa nilikua nahitaji mbao hizi ambazo hazina dawa kwa kuanzia!kama kuna yeyote ambaye anaifanya hii business hebu atangaze biashara yake...
NATAFUTA TOYOTA LAND CRUISER OLD MODEL BJ 60 yenye HALI NZURI BADO MPYA, WEKA MAHALI ILIPO, NA BEI YAKE, IWE HAIJAWAHI PATA AJALI, KUFUNGULIWA ENGINE WALA GEARBOX, 4 cylinder engine,
Jamani kama kuna wanafunzi wa
Vyuo vifuatavyo anayetoka Mkoa
wa SINGIDA naomba tuwasiliane/anitumie jina
lake kupitia 0763305605,kuna
jambo muhimu la kujulishana...
1.University of Dar es...
Container la 20ft linakodishwa Chang'ombe toroli,
Liko barabarani kabisa, along barabara itokayo Serengeti Brew.
Limepigwa Rangi ndani na nje, pia kuna Gypsum kwa ndani.
Kodi ni Tshs 70,000/= kwa...
Serikali ya New Zealand inaendesha zoezi la upigaji kura ktk mtandao wa Yahoo,kupata maoni yetu kuhusu kupiga marufuku vazi la NIKAAB ktk nchi yao.Pls saidia dada zetu wa New Zealand kwa kupiga...
Wadua
Nina photocopy machines zinauzwa kwa bei ya chini kabisa (fast sale) kama ifuatavyo
Canon NP6028 TZS 700,000
Canon NP6030 TZS 700,000
Canon IRC3220 TZS 1,500,000 (ya rangi)
Canon...
Nauza personal collection yangu ya novels. 1. The Tristan Betrayal- By Robert Ludlum 2. The Bourne Supremecy - By Robert Ludlum. 3. The Bourne Ultimutum - By Robert Ludlum. Bei 12,000/=. Na The...
Nauza Original Samsung Champ 2 Duos model no c3332 kwa bei ya 220,000 tu. Simu Ni mpya kabisa, haijawahi tumika, iko katika original Box yake na Inatumia Line Mbili. Ina touch screen, very...
Wakuu naomba msaada wenu, kupata DVR Kama hiyo au tofauti ya kudumu na pia bei nzuri nina haraka kidogo na baadae ntapenda nipat camera zake, au mtu anayeuza CCTV system complete kwa bei nzzuri...
Ndugu wanajf naomba munijuilishe ni sehemu gani haswa hapa dar wana exchange rate nzuri ya dollar, pia katika mikoa mengine wapi ntaweza kununua dola kwa bei nzuri. Kama kuna websites za bureau de...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.