Wadau Naomba Msaada Wenu kwa Hili: Required,10 donkeys (castrated male or female) of 3-4 years old. Must be healthy & standard type of donkeys.
Documents like certificate of origin...
Mambo vipi wana JF?
Gari aina ya RAV 4 ya milango 5 ya rangi ya SILVER, imetengenezwa mwaka 1998, Engine capacity ni CC 1984
Odometer ni km 160,000
Owner ni mmoja tu tangu imeingia Tz.
Inauzwa...
We do fix and install security cameras and electric fence at a good price. We also give a warranty of one year. We have done that for some banks. Please call 0712435316 for more information.
Wakuu,
Kuna jamaa yangu yupo Mwanza anahitaji Fuso Tiper ya tani nne (4) ana haraka.
Kama ipo Dar ni PM namba yako nije niicheki tuelewane.
Fuso iwe mpya, au kama imetumika iwe katika hali...
Nauza shamba ekari moja kwa bei ya shilingi Million sita(6) tu, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo cha Open university(Chuo kikuu huria)....kwa mawasiliano ni 0652-110878
Wana JF, salaam sana. Karibuni kwenye mkutano wa Afya na Mali, utakaofanyika tarehe 7/7/2012 Holiday Inn, saa 7 kamili mchana na kuendelea.
Upande wa afya, magonjwa sugu kama kansa, kisukari...
home theatre ya sony yenye watts 350 inasubwofer, spika ndogo tano, inaplay CD, redio na warrant yake bado haijaisha. dukani inauzwa 350,000 ila mi nauza 250,000 kama uko interested ni PM
SORRY...
Nauza mtoto wa mbwa( pupy)
Pupy breed : mchanganyiko wa germarn sephard na Goldenretriever
pupy colour :white
pupy age 78 days
sex: female
Kabila la mama germarn shephard black
kabila la baba...
The HP TouchPad tablet - it works like nothing else. With support for the latest web technologies including Flash and Beats Audio® for amazing sound!
SPECIFICATIONS
Processor: Qualcomm...
Habari!
Achievers club Tanzania inaleta kwenu uzinduzi wa kitabu cha mambo ya ujasiriamali kilichoandikwa na Mr Deogratius Kilawe(President wa achievers club Tanzania) julai pale Holiday INN...
follow the link to read The Darproperty Magazine, ONLINE. Featuring HOT deals of real estate. Apartments, Godown, houses, office spaces, plots and so many more... also know how to make money in...
Shule hii ipo Kisalawe mkoani Pwani, ina vibari vyote muhimu na ina eneo la ukubwa wa hekari 15, tayari madarasa 2 yamejengwa yapo katika hatua za mwisho kabisa . mnunuzi atamalizia ujenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.