Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji HTC Senation XE ikiwa na its ORIGINAL headphones{beats by DRE}....elezea condition yake na price.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu heshima zenu!nimefungua ki hardware kangu huku dar!sasa nilikua nahitaji mbao hizi ambazo hazina dawa kwa kuanzia!kama kuna yeyote ambaye anaifanya hii business hebu atangaze biashara yake...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Toyota cami iliyo katika hali nzuri imetumika kwa muda wa mwaka mmoja kwa maelezo zaidi piga simu namba0717469406
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Natafuta mashine ya kublend Mchai chai. Nimejaribu kugoogle lakini naona maluweluwe.Mwenye taarifa anijuze na bei yake. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Seriously.. Anyone who has dat product plz PM me
0 Reactions
0 Replies
867 Views
NATAFUTA TOYOTA LAND CRUISER OLD MODEL BJ 60 yenye HALI NZURI BADO MPYA, WEKA MAHALI ILIPO, NA BEI YAKE, IWE HAIJAWAHI PATA AJALI, KUFUNGULIWA ENGINE WALA GEARBOX, 4 cylinder engine,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
blackberry bold 9700 white 1 month used,in excellent condition goes for 270000 tsh..0718662768
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Price 250,000 net Used phone but still in good condition, Call 0686990399 and talk to owner
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani kama kuna wanafunzi wa Vyuo vifuatavyo anayetoka Mkoa wa SINGIDA naomba tuwasiliane/anitumie jina lake kupitia 0763305605,kuna jambo muhimu la kujulishana... 1.University of Dar es...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Container la 20ft linakodishwa Chang'ombe toroli, Liko barabarani kabisa, along barabara itokayo Serengeti Brew. Limepigwa Rangi ndani na nje, pia kuna Gypsum kwa ndani. Kodi ni Tshs 70,000/= kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali ya New Zealand inaendesha zoezi la upigaji kura ktk mtandao wa Yahoo,kupata maoni yetu kuhusu kupiga marufuku vazi la NIKAAB ktk nchi yao.Pls saidia dada zetu wa New Zealand kwa kupiga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadua Nina photocopy machines zinauzwa kwa bei ya chini kabisa (fast sale) kama ifuatavyo Canon NP6028 TZS 700,000 Canon NP6030 TZS 700,000 Canon IRC3220 TZS 1,500,000 (ya rangi) Canon...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauza personal collection yangu ya novels. 1. The Tristan Betrayal- By Robert Ludlum 2. The Bourne Supremecy - By Robert Ludlum. 3. The Bourne Ultimutum - By Robert Ludlum. Bei 12,000/=. Na The...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mtu anayehitaji nokia n 900 anipigie 0717798300
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anaeuza Ipad 1 au 2 anicheki nataka kununua weka na bei
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Nauza Original Samsung Champ 2 Duos model no c3332 kwa bei ya 220,000 tu. Simu Ni mpya kabisa, haijawahi tumika, iko katika original Box yake na Inatumia Line Mbili. Ina touch screen, very...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu, kupata DVR Kama hiyo au tofauti ya kudumu na pia bei nzuri nina haraka kidogo na baadae ntapenda nipat camera zake, au mtu anayeuza CCTV system complete kwa bei nzzuri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
machine ya juice ya miwa kilo 300 kwa saa na oven kubwa ya biashara ya gas machine ya kumenyea viazi 30 kilo kwa maelezo zaid nipigie 0652104144
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, naomba kutaka kujua namna ya kufungua website; nani ni webhost mzuri kuanzia gharama; disigning etc.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Ndugu wanajf naomba munijuilishe ni sehemu gani haswa hapa dar wana exchange rate nzuri ya dollar, pia katika mikoa mengine wapi ntaweza kununua dola kwa bei nzuri. Kama kuna websites za bureau de...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom