Ujazo wa kiwanja ni 4,431 sqm, size yake ni 55M upana na Urefu 81M. Bei ni Tsh 45,000,000/=. Kiwanja Kipo umbali wa mita 100 kutoka ukuta wa fensi wa Ikulu Mpya. Kiwanja kimepimwa na kina Hati...
kama wewe ni mjasiliamali ama unataka kuwa mjasiliamali na unaitaji kujifunza juu ya kutengeneza Rosella wine, basi wasiliana na mimi nikufundishe kwa bei rahisi tu, mawasiliano ni 0652-110878
Hello wanaJF, heshima kwenu
Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch
tuambie kuhusu...
Nyumba Inauzwa
ipo: Ulongoni - Kinyerezi,
Sifa: Master bed room,three family rooms, Kitchen,tap water, Tanesco wired, Direct access to main road, store and public toilet, sitting room...
Freelancer Graphics Designer online in"Page Layout, Publishing, Illustrations & Adverts" na mzuri katika
Adobe photoshop, Adobe illustrator ,Adobe indesign na Coral Draw, na uzoefu wa miaka ya...
Wadau bajeti yangu ts200,000=natafuta simu ya kisasa hata used,iwe inakaa na chaji,haina usumbufu kwenye mambo ya internet na music,nikipata window mobile itakuwa safi sabAbu nimetumia siku...
Nyumba Inauzwa ulongoni via Kinyerezi
Nyumba Inauzwa
ipo: Ulongoni - Kinyerezi,
Sifa: Master bed room,three family rooms, Kitchen,tap water, Tanesco wired, Direct access to main road, store...
Kiwanja kinauzwa Dom maeneo ya Makulu njia ya kwenda Udom
unateremka chini kidogo kama unaenda relini!
kina urefu30 kwa 20 upana kimepimwa maji na umeme vipo jirani
Bei 10 Ml
kwa anayetaka...
Ndugu wana jamii forum,kama mtanzania ninaetafuta jibu la ukosefu wa ajira nimeamua kujiajiri binafsi chini ya mtandao wa tigo!
Nauza modems za tigo zenye speed ya kushangaza.kwani its ever...
Natafuta kiwanja KILICHOPIMWA TU saizi yoyote katika jiji la mwanza. kama unacho kiwanja andika kwa edithalongo@yahoo.com
Saizi yake (upana kwa urefu), maeneo, bei na simu yako
Kama ni nyumba...
LIMEJENGWA BANDA NA LINA GETI...LIPO KARIBU NA BARABARA KARIBU NA WHITE INN NA MAWELA (TEN STARS LOUNGE) BEI INAANZIA MIL 65 NA KUNA MAELEWANO
CONTACTS
0714812375
0784562131
email:joseengowi@gmail.com
Salaam,
Nina lori (semi-trailer) flatbed linaloweza kubeba mpaka tani 30-31, natafuta mtu/kampuni yeyote iliyotayari kushirikiana katika kusafirisha mizigo/containers kwenda sehemu mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.