Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

naitaji line ya kutumia internet free kama unayo just contact me through 0752092762 we anza kwa kusema sam ntajua ni wa internet line jamani dili hilo ila ukija na uchakachuaji wako utaumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikua naulizia kuhusu soko la biashara ya mbao Dar. Wanasema hii biashara inalipa sana mjini ni kweli na soko kweli kubwa ?
0 Reactions
11 Replies
11K Views
HP Pavilian specification: RAM 1GB, Hard Disk 120GB, Processor AMD Athlon(tm) 64x2 dual core TK-55 1.8GHZ, Webcam, for TSH 540,000/= its used but iko poa.... SONY VAIO specification. RAM 4GB...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Imetumika kwa kipindi cha mwezi na nusu bei 230000
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Wadau nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba 3 kwa kiwanja cha 70/50, Msaada kwa anayefahamu kwa kuipata, au mwenye ramani ya kawaida ya 3bedroom house anitumie. Natanguliza shukrani
0 Reactions
22 Replies
7K Views
jf mwenye pikipiki used ani pm nanunua masharti isiwe imetumika kama boda boda aina yoyote
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ps2
Nahtaj ps2 kwa 150,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
(1) Mbao za Dawa kwa Futi Moja. 2x2 400/=ft 2x3 800/=ft 2x4 900/=ft 2x61300/= 1x8 12000/= Kwa Ubao mmoja wenye "Ft 12" 1x10 15000/= Kwa ubao mmoja wenye "Ft12" (2) Mao za Kawaida Zisizo na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nokia E-5 for sale,tsh 250000 ina kila kitu chake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei ziwe kuanzia 300,000-400,000.Pia na viatu bei iwe 100,000
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ani pm
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Nauza Blackberry curve 8520 kwa bei ya 180,000 tu. Simu imetumika na iko katika hali nzuri sana. Haina scratches. Camera tu ndio haifanyi kazi. Kwa mawasiliano, piga namba 0714881500. BEI...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninauza tiles za sakafuni na za ukutani nina box 700 , natafuta mnunuzi wa kununua box 100 na kukuendelea bei ni Tsh. 23,000/= kwa mtu atakayechukua zote bei itapungua . Havilla Real Estate Agent...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Ni habari njema kwa wenye vitu tajwa hapo juu, kuwa kuanzia mwezi May au June mwanzoni nitakuwa nasafisha hivyo vitu kama vilikuwa vina scratch haviplay miziki vzr basi tiba yake ya milele ina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nataka kununua bajaji kwa ajili ya biashara. Wapi nitapata bajaji nzuri na kwa bei poa. Wenye uzoefu bei inaenda ngapi?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nauza nokia 5800 touch screen imetumika ndani yamwezi 1 na nusu tuu bado mya bei ni laki 170mwisho 160 number zangu ni 0656-072553 au 0782-895676
0 Reactions
3 Replies
917 Views
ni kama hii hapa Earphone jack mwenye kupata Earphone Jack ya Nokia N81 aniuzie, pin 1 hapo ilikatika ya2 kutoka kwenye tundu, ambayo ni ya mic!! simu yangu nikichomeka earphone, nackia music tu...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Ninauza gari aina Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc. :car...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za siku mshimiwa wa JF !!! Natafuta KAMPUNI au WATU, wanayo weza kuni saidiya ku tangaza biashara kwenye magazeti mbali mbali. Plz help if anyone knows any agents for newspapers ? PM me...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbao za dawa zinapatikana kwa wingi kwa anae hitaji ani pm.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom