naitaji line ya kutumia internet free kama unayo just contact me through 0752092762 we anza kwa kusema sam ntajua ni wa internet line jamani dili hilo ila ukija na uchakachuaji wako utaumia...
HP Pavilian specification:
RAM 1GB,
Hard Disk 120GB,
Processor AMD Athlon(tm) 64x2 dual core TK-55 1.8GHZ,
Webcam, for TSH 540,000/= its used but iko poa....
SONY VAIO specification.
RAM 4GB...
Wadau nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba 3 kwa kiwanja cha 70/50, Msaada kwa anayefahamu kwa kuipata, au mwenye ramani ya kawaida ya 3bedroom house anitumie. Natanguliza shukrani
(1) Mbao za Dawa kwa Futi Moja.
2x2 400/=ft
2x3 800/=ft
2x4 900/=ft
2x61300/=
1x8 12000/= Kwa Ubao mmoja wenye "Ft 12"
1x10 15000/= Kwa ubao mmoja wenye "Ft12"
(2) Mao za Kawaida Zisizo na...
Nauza Blackberry curve 8520 kwa bei ya 180,000 tu. Simu imetumika na iko katika hali nzuri sana. Haina scratches. Camera tu ndio haifanyi kazi. Kwa mawasiliano, piga namba 0714881500.
BEI...
Ninauza tiles za sakafuni na za ukutani nina box 700 , natafuta mnunuzi wa kununua box 100 na kukuendelea bei ni Tsh. 23,000/= kwa mtu atakayechukua zote bei itapungua . Havilla Real Estate Agent...
Ni habari njema kwa wenye vitu tajwa hapo juu, kuwa kuanzia mwezi May au June mwanzoni nitakuwa nasafisha hivyo vitu kama vilikuwa vina scratch haviplay miziki vzr basi tiba yake ya milele ina...
Wadau nauza nokia 5800 touch screen imetumika ndani yamwezi 1 na nusu tuu bado mya bei ni laki 170mwisho 160 number zangu ni 0656-072553 au 0782-895676
ni kama hii hapa Earphone jack
mwenye kupata Earphone Jack ya Nokia N81 aniuzie, pin 1 hapo ilikatika ya2 kutoka kwenye tundu, ambayo ni ya mic!! simu yangu nikichomeka earphone, nackia music tu...
Ninauza gari aina Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc. :car...
Habari za siku mshimiwa wa JF !!!
Natafuta KAMPUNI au WATU, wanayo weza kuni saidiya ku tangaza biashara kwenye magazeti mbali mbali.
Plz help if anyone knows any agents for newspapers ?
PM me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.