Mtu yeyote anayependa kupiga picha au mwenye picha yoyote ya kuvutia ya eneo, tukio, wanyama, shuguli, na taswira za aina yoyote, tafadhali zitume kwenda kwenye blog maalum kwa ajili ya taswira...
kwa yeyote mwenye kujua wapi zinauzwa rim za aluminium(ALLOY) za magari madogo kwa bei nafuu anijulishe maana kuna sehemu nimeambiwa set sh laki 6,saizi ya tairi ni 185/65r15 88s,nitashukuru
Wana JF, natafuta mkopo wa laki 3, nitaripa kwa riba ya laki 1.nitaweka rehani simu yangu mpya kabisa ya laki 5.niko dar, mwenye hizo hela anitumie namba yake tuwasiliane.
Habari wakuu..
ninahitaji king'amuzi cha startimes (used)...bajeti yangu ni tsh 40,000..kama unacho basi sio vibaya ukanitaarifu kwa 0719 257214
Aksanteni
SONY DIGITAL CAMERA.
Model No: DSC-S3000
10.1 Mega Pixels
4x Optical Zoom
NIMEINUNUA MWENYEWE MWEZI WA 4 MWAKA HUU NA IPO FULL na components zote kama USB na CD.
BEI NI TSH. 140,000 TU...
Hi
Good day!
Legacy impression Company would be your most trustful buddies in Printing ,
Website Technology ,Graphic design and Stationeries
Professional with lower cost and higher quality...
Expat leaving and selling car June/July 2012
Toyota Vitz
Duty paid
Year: 2001
Fuel: petrol
Transmission: automatic
Color: silver
Mileage: 103.000 km
Imported from Japan in 2010, only driven on...
Habari wanajamvi, natafuta cd za movies za kibongo kwa bei ya jumla peace kama mia mbili. Nasisitiza kwa bei ya jumla, ambae anajua 2nawezafanya biashara anaweza nipm.
This business opportunity don't stop you from what you're doing now but tomorrow you will be your own boss.Take a look on this opportunity now below where people are trained how to make money...
Jipatie website iliyo kwa ubora zaidi kwa bei nafuu, pia jipatie ulinzi wa kutosha kwenye nyumba yako(cctv and surveilance) kwa maelezo. Email: crissalex1@live.com. Simu: 0719665022. Au 0688355306.
Wanajamvi wanaohitaji kiwanja habari ndio hii...
Kuna kiwanja kinauzwa eneo la Mbweni Mpiji, Kinondoni chenye sqm 662 na Hati miliki. Eneo la 14, kiwanja na. 216, Kinauzwa 15M tu, Hakuna dalali...
Salaam Wana Bodi. Sasa nipo kwenye kampuni flani hizi ya Ujenzi wa barabara huku pande za Songea, na kwa sasa hii kampuni ina shortage ya gari ndogo ka ajili ya Surveyors, sasa kama kuna mwanabodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.