UPDATED 15th MAY
NYUMBA BADO IPO NI MIL 40 TU CHANGAMKA
Ni nyumba ya kisasa kabisa, iko kitunda/kipunguni karibu na moshi bar. Ina sebule ya kupumzika, sehemu ya kulia chakula, vyumba vitatu vya kulala, kimoja kikiwa na choo na bafu (master bed room) na stoo.
Imepigwa plaster nje na ndani, imewekwa tiles pamoja, ceiling board (qypsum), frame za mirango na madirisha. Bado kufuwekwa milango, madirisha na rangi tu.
Bei ni maelewano.
Wasiliana na paulo kwa namba 0715634825, au 0755634825
nyumba inavyoonekana kwa mbele
nyumba inavyoonekana kwa nyuma
nyumba inavyoonekana kwa ubavuni