Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ni kama hii hapa Earphone jack mwenye kupata Earphone Jack ya Nokia N81 aniuzie, pin 1 hapo ilikatika ya2 kutoka kwenye tundu, ambayo ni ya mic!! simu yangu nikichomeka earphone, nackia music tu...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Ninauza gari aina Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc. :car...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za siku mshimiwa wa JF !!! Natafuta KAMPUNI au WATU, wanayo weza kuni saidiya ku tangaza biashara kwenye magazeti mbali mbali. Plz help if anyone knows any agents for newspapers ? PM me...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbao za dawa zinapatikana kwa wingi kwa anae hitaji ani pm.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Simu HTC INSPIRE 4G Inauzwa mpya imetumika kwa miez miwili. sababu ya kuiuza nimepewa zawadi ila nina simu nyingine kwa maelezo zaidi kuhusu simu tembelea HTC Inspire 4G - Full phone...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anahitajika Advertising Sales Person kwa ajili ya kufanya sales za signboards and billboards advertising space. Naomba tuwasiliane kwa PM. Asante
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Shamba lenye ukubwa wa heka mbili na nusu linauzwa shilingi milioni 25 maongezi yapo.shamba lina miemmbe,mikorosho na minazi. shamba lipo chanika buyuni unaingia ndani kidogo. kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta suzuki jimmy yakununua iliyo katika hali nzuri aliyonayo anijuze nipe bei
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana bodi habari naombeni mnijuze bei ya soko ya NISSAN XTRAIL GT ya 2002 imesajiliwa na imetumika kuanzia mwaka jana ipo hapa hapa DSM Just bei tu wadau.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
shamba linauzwa lipo kongowe kibaha mita 400 kutoka barabarani majiyamefika na umeme umefika na linatazama barabara kuu ya kwenda soga linafaaa kwa uwekezaji wa kuku,ngombe,makazi,au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
- CALL: Location: Ras Karonjo, Gezaulole, Kigamboni,Dsm. - 15 Km from the Ferry terminal, 10 – 15 Min. drive - Tarmac road up to the cross section and small...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
URGENT: LOOKING FOR FINANCE Tshs 400 mln Introduction; We are registered Company about 20 yrs now as limited in liability, The company wealth is more than 2 billion it has 100% equity...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina nyumba zaidi ya kumi ambazo zinauzwa katika wilaya ya Kinondoni kwa anayetaka kununua tuwasiliane au kupanga tuwasiliane 0657 14 5555, 0755 099 291 Havilla Real Estate Agent
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cresta 1G - for sale ! ! In good Condition and reasonable price!
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Location: 17 Km from City Center, Old Bagamoyo Road Located at Africana Jangwani Beach Near White Sands , Kilongawima Yard Kinondoni District, Dar-Es-Salaam (Tanzania) Email: info@kitomai.com...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipigie 0714101020
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viewsonic viewpad 10E Tablet PC (IPAD) 9.7" Touchscreeen Webcam Mini HDMI, Up to 32GB via Micro SD WiFi + Bluetooth OS - ANDROID Gingerbread 620,000/- Brand New.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hallo habarini, mimi ni Mwalimu wa Masomo ya Mathematics/Physics/Computer Studies nimehitimu diploma in education 2008 nimefundisha miaka miwili shule ya serikali, HIVI SASA NIPO UNIVERSITY OF DAR...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Blackberry torch shs 550000, imetumika miezi 5, ni nyeusi.contact 0715988522.
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Wana JF, Kama mko interested na mbao za kuezekea na zenye ubora zaidi ya cyprus wanazoziita treated, karibuni tufanye biashara. Ninauza mbao zitokanazo na mti wa mnazi kwa ajili ya kuezekea kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom