ni kama hii hapa Earphone jack
mwenye kupata Earphone Jack ya Nokia N81 aniuzie, pin 1 hapo ilikatika ya2 kutoka kwenye tundu, ambayo ni ya mic!! simu yangu nikichomeka earphone, nackia music tu...
Ninauza gari aina Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc. :car...
Habari za siku mshimiwa wa JF !!!
Natafuta KAMPUNI au WATU, wanayo weza kuni saidiya ku tangaza biashara kwenye magazeti mbali mbali.
Plz help if anyone knows any agents for newspapers ?
PM me...
Simu HTC INSPIRE 4G Inauzwa mpya imetumika kwa miez miwili. sababu ya kuiuza nimepewa zawadi ila nina simu nyingine kwa maelezo zaidi kuhusu simu tembelea HTC Inspire 4G - Full phone...
Shamba lenye ukubwa wa heka mbili na nusu linauzwa shilingi milioni 25 maongezi yapo.shamba lina miemmbe,mikorosho na minazi. shamba lipo chanika buyuni unaingia ndani kidogo.
kwa mawasiliano piga...
Wana bodi
habari
naombeni mnijuze bei ya soko ya NISSAN XTRAIL GT ya 2002 imesajiliwa na imetumika kuanzia mwaka jana ipo hapa hapa DSM
Just bei tu wadau.
shamba linauzwa lipo kongowe kibaha mita 400 kutoka barabarani majiyamefika na umeme umefika na linatazama barabara kuu ya kwenda soga linafaaa kwa uwekezaji wa kuku,ngombe,makazi,au...
- CALL: Location: Ras Karonjo, Gezaulole, Kigamboni,Dsm.
- 15 Km from the Ferry terminal, 10 15 Min. drive
- Tarmac road up to the cross section and small...
URGENT: LOOKING FOR FINANCE Tshs 400 mln
Introduction;
We are registered Company about 20 yrs now as limited in liability,
The company wealth is more than 2 billion it has 100% equity...
Nina nyumba zaidi ya kumi ambazo zinauzwa katika wilaya ya Kinondoni kwa anayetaka kununua tuwasiliane au kupanga tuwasiliane 0657 14 5555, 0755 099 291 Havilla Real Estate Agent
Location:
17 Km from City Center, Old Bagamoyo Road
Located at Africana Jangwani Beach
Near White Sands , Kilongawima Yard
Kinondoni District, Dar-Es-Salaam (Tanzania)
Email: info@kitomai.com...
Viewsonic viewpad 10E
Tablet PC (IPAD)
9.7" Touchscreeen
Webcam
Mini HDMI,
Up to 32GB via Micro SD
WiFi + Bluetooth
OS - ANDROID Gingerbread
620,000/-
Brand New.
Hallo habarini, mimi ni Mwalimu wa Masomo ya Mathematics/Physics/Computer Studies nimehitimu diploma in education 2008 nimefundisha miaka miwili shule ya serikali, HIVI SASA NIPO UNIVERSITY OF DAR...
Wana JF, Kama mko interested na mbao za kuezekea na zenye ubora zaidi ya cyprus wanazoziita treated, karibuni tufanye biashara.
Ninauza mbao zitokanazo na mti wa mnazi kwa ajili ya kuezekea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.