We look for serious sellers with
1. Diamonds:
give us a detailed description of your product, color, clarity, shape, size..manifest and current pictures if possible.
2. Copper cathodes...
Nauza
digital camera aina YASHIKA Lens yake haitoki nje kama digital camera
nyingine ipo tu flati ni nzima kabisa Nimeitumia kidogo niliinunua laki
1 na nusu kwa anayehitaji hata kwa laki 1...
Simu Mpya Kabisa na kila kitu chake ndugu wadau haina zaidi ya wiki tangu niimiliki:
Ni black in colour
ina WI-FI
Ina Camera 3.5 MP
ina Keyboard
screen touch
Microsoft Office outlook
8 GB...
Wana JF Nahitaji Laptop haraka iwezekanavyo kwa bei nafuu sana, hata kama ni used lakini iwe imesimama no scraches,Uwezo wa Battery 2hrs plus,Details Ram 2Gb au zaidi,Processor kuanzia 1.8GHZ na...
Hello JF...
Kuna friends wangu kama watatu wako kweney finishing stage ya nyumba zao. So katika kumaliza wanapenda kupata Designer wa jiko na dining. Kuwashauri setup ya makabati na jiko, fridge...
Habari ma-great thinker!!
Nyumba mpya inapangishwa Bunju. Ina vyumba kama ifuatavyo;
Master bedroom (self contained) - 1
Vyumba vya kulala viwili (wanashare choo) - 2
Library/Study room - 1...
UPDATED 15th MAY
NYUMBA BADO IPO NI MIL 40 TU CHANGAMKA
Ni nyumba ya kisasa kabisa, iko kitunda/kipunguni karibu na moshi bar. Ina sebule ya kupumzika, sehemu ya kulia chakula, vyumba vitatu...
Nahitaji mkopo wa Laki 5, nitarudisha laki 6 after 3 days.Nitaweka my Dell laptop kama security.Nnazihitaji by saturday, niko Dar, mwenye nazo anitumie namba yake fasta.
Technology 4 Africa Co. Ltd ni kampuni inayotoa huduma zote za IT ikiwa ni pamoja na Computer maintenance and troubleshooting, Networking and technical support, website/graphics designing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.