Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jamani kwa anayehitaji line za tigo pesa naomba aniPM. Bei ni nafuu
0 Reactions
11 Replies
5K Views
husika na kichwa Cha habari,nahitaji blackberry Curve 8530 (curve 2) iliyotumika.. Pesa niliyonayo CASH ni 150,000..kama Unayo send Message to this number 0782882873
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Ni simu nzima bila matatizo yoyote, n Sent from my BB
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Hiyo simu inauzwa imetumika miezi miwili tu. Inacharger original na headphone original. Bei ni 320,000. If interested pm me please!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu nauza nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.140,000/=. kama wahitaji nipigie simu namba 0715404808, simu imetumika wiki 3 tu! Nokia Asha 200 Nokia Asha 200 review: Dual SIMpatico...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nisaidieni nahitaji kununua matyre ya gari langu lakini nimezunguka kwenye maduka kila nikiulizia naambiwa hili kiasi fulani ni china mara hili la india mara hili ni Vee Rubber. jamani...
0 Reactions
21 Replies
31K Views
Kiwanja kinauzwa,kipo Kigamboni(mwongozo)kina hati na kimepimwa.Hamna dalali,simu yangu ni 0753875055
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna yeyote anayefahamu hawa dealers wa hizi pikipiki za Honda Ace wako wapi? 2012 Honda Ace CB125 and Ace CB125-D – $627 Motorcycles for African Market | Motorcycle.com News
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Txup ma brethren n ccstas tc ma hp dat al of u your are cool.Am teking dc opportunity 2 anounce dat am selling a vehicle a kind of pickup hilux mashavu any one in need of it u can consult...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kipo Mbezi Beach maeneo ya Tangi Bovu. Kipo upande wa kulia ukiwa unatokea Mwenge unaelekea Tegeta. Kipo ndani ya fence. Umeme na maji vinapatikana. Choo kipo kwa nje. Mazingira safi. Kodi 70,000...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari wadau, kama kuna anayewafahamu wanaotengeneza Tshirt za pure organic cotton naomba link yao, kwa maana ya website tafadhali. kampuni iwe Tanzania. asante sana
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu!ESPITECH COMPANY ni mabigwa wa kusupply na kufunga vifaa vya solar Tanzania. Wana wataalamu wa solar energy wenye uzoefu na wamefunga mitambo ya solar kwa wateja...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani nisaidieni nipate handle kile kifaa kinachoshika vioo vya mbele vya RAV4
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Ni UPS nzuri ambayo imetengenezwa na kampuni ya APC, mwenye kuihitaji bei ni maelewano tu Inapatikana maeneo ya Mbezi beach na kwa mawasliano zaidi tumia frankgodlisten@yahoo.com au tuma sms kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
shamba ekari moja kwa bei ya million 5 maelewano yapo, lipo kibaha kwa mathias karibu na makao makuu ya chuo kikuu huria au open university, panaitwa viziwaziwa, ni umbali wa kama kilometre 4 toka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mimi si Dalali, ila kuna Mashamba na Viwanja WAMASAI WANAUZA KWA KASI YA KUTISHA ENEO LA KISONGO NA WAO KUKIMBILA HANDENI MKOANI TANGA, so kwa anaye hitaji mimi naweza mpeleka kwa mwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie wapi ntapata Fundi wa Playstation 2 natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani tuna nyumba nyingi sana za kuuza hapa Dar es Salaam. hasa maeneo ya kinondoni, tabata, tegeta, makumbusho , mwananyamala mwenge na kijitonyama. kuna zaidi ya nyumba 100. bei zimeanzia 20m...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mwenye samsung tab 10.1" tuwasiliane. sms 0714 241 666
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ashden, the sustainable energy organization, is calling for applications for the 2013 Ashden Awards. They are looking for initiatives that are improving and increasing access of renewable...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Back
Top Bottom