Heshima wakuu, Nina kashamba kangu kwenye ukubwa wa takriban Eka 8. maeneo ya Mwasonga kigamboni. Lina rutuba nzuri na limesafishwa lote. Kuna maji na vifaa vidogo vidogo vya kilimo. Kama kuna...
Nauza hii Camera ni nzuri ambayo imetumika mara mbili tu tokea upya wake.Model yake ni PL121 Samsung ina megapixel 14.2 ina doble screen.Bei yake ni poa kabisa ni shs 160,000 na sio...
Katika kuhangaika hangaika namna ya kujiongezea kipato, nikajikuta nalazimika kujiingiza katika whats so called Work At Home or Make Money Online. Changamoto iliyopo ktk biashara hii ni...
Salaam wakuu,
Jamani nisaidieni mahali naweza kupta UPS yenye uwezo wa kuhimili hadi Computer 12 & MFP (Multi Functional Printer) kwa matumizi ya bishara.. J2 njema
Wakuu natafuta Playstation 3 haraka (fast cash) my budget is 550,000/= as soon as possible!! My contacts ( 0783 115545 ) ...specs (( 200GB HDD, two controllers, very mint condition))
Heshima wakuu, Nina kashamba kangu kwenye ukubwa wa takriban Eka 8. maeneo ya Mwasonga kigamboni. Lina rutuba nzuri na limesafishwa lote. Kuna maji na vifaa vidogo vidogo vya kilimo. Kama kuna...
Wadau kuna plots mbili zilizofuatana zinauzwa,
zipo BUNJU block 6,
ukubwa: kimoja kina 1400sqm na kingine 1250sqm
bei ni milioni 50 kila kimoja.
dalali hahitajiki,
tuwasiliane kwa...
tembelea tovuti ya www.tihest.org kuna nafasi za masomo diploma health information management and finance, na certificatesdiploma in clinical medicine.
mark 2 gx 110 inauzwa kwa sh million 14 tu. pia kuna rav 4 ya 3 door kwa sh million 9, carina kwa million 9. Gari zote zipo dar kwa anayeitaji anaweza kuwasiliana ili aweze kuja kuziona...
MAENEO KWA UJENZI WA VITUO VYA MAFUTA.
Kibaha baada kidogo ya mizani heka 2
mlandizi ( visiga) heka 4.5
Temeke eneo la Tameko Dsm heka 1.5
mbagara chamazi heka 1
MAENEO YA UJENZI WA SHULE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.