Nyumba inapangishwa Mbezi luis mtaa wa mshikamano, umbali ni km 1.5 kutoka Morogoro Road, kodi ni laki 300,000/= kwa mwezi na inahitajika kodi ya miezi sita.
Nyumba ni self contained, ina 3 bed rooms (moja ni master), seeting room, Dining room, jiko, store, public toilet & bath room, car pack, fensi ya ukuta, maji ya Dawasa, umeme, na water storage ya lita 12,000. kwa mawasiliano piga 0714432979
NB: wanafunzi wa St.Joseph wanaweza changamkia hii.
Nyumba ni self contained, ina 3 bed rooms (moja ni master), seeting room, Dining room, jiko, store, public toilet & bath room, car pack, fensi ya ukuta, maji ya Dawasa, umeme, na water storage ya lita 12,000. kwa mawasiliano piga 0714432979
NB: wanafunzi wa St.Joseph wanaweza changamkia hii.