Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
r u seriously jocking?
watalii watakaa wapi hapo??
Wewe sema labda la kubebea mbao au magogo
hiyo gari si lilishakua chuma chakavu, wewe umelipaka rangi tu.
T ### ABV ni namba za mwaka Jana mwishoni?hamna kaka hiyo mashine imeingia nchini mwaka jana mwishoni kutoka ufaransa na imesajiliwa mwaka jana na kodi zote zimelipwa.