Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

One space for setting an office is available at sokoine drive near bandari road. My take; inawafaa sana watu wa clearing and forwarding corse ina parking space ya kutosha na intazamana na Bandari.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu. Naombeni kujuzwa kwa mtu anaefahamu kwa sasa gharama za kukatia gari ndogo Insurance. Gari zenyewe ni kama Mark II, Suzuki vitara, swift. n.k. Namaanisha Insurance ndogo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
1.Hekari 10 kipo mbutu beach bei ni mil50 2.Hekari 300 bei sh 450mil 3.Kiwanja cha kupimwa beach plot no 3 unayaona maji sqm 4500 bei sh 60mil
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Am ally nauza b.bery bold 9700 kwa sh lk 3na nusu na laptop apple macbook nyeupe kwa bei ya sh lk 7 also nina b.bery curve i na ii na sumsung galax sii bei poa mimi 0652740304
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UmojaSwitch wamekuja na promotion tatu zitazodumu kwa miezi mitano, kuanzia mwezi wa 8 hadi wa 12. Mtu atayekua amefanya transactions nyingi kwa huo mwezi atapewa 1M kila mwezi Kila mwezi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Interested buyer please PM me.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vyumba viko poa unaweza kuchukua vyote viwili au kimoja viko opposite na duce karibu na office za CCM na hakuna masharti yeyote just nichek kwa namba 0713532322
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tupo kwenye promotion kubwa katika kutengeneza (Designing) na ku host websites kwa bei rahisi. Pamoja na kukupa bei rahisi mno ya Tsh 9,000 tu kwa mwezi kwa kuhost website ya aina yoyote! Lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo JKT mbweni meta sq 1394, kwa mawasiliano zaidi piga simu number 0714 371441
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza king'amuzi cha star times (kipo kwenye box, kama kipya), kimeshalipiwa miezi mitatu, yaani 19th sept- 19th dec 2011. Bei ni sh elfu sitini tu (60,000). Hakina tatizo lolote. Sababu ya...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
NATIONAL RANCHING COMPANY LIMITED(KAMPUNI YA RANCHI ZA TAIFA LIMITED) NAFASI ZA WAKALA MAUZO (SALES AGENTS) WA NYAMA YA “KONGWA BEEF”NA NGOMBE HAI WATAKAOANZISHA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
eneo linauzwa madale heka 8, lina hati ukinunua unapewa na hati ya kiwanja. Bei mil 64 Tshs. Kwa maelezo zaidi piga simu number 0755955385.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
eneo linauzwa madale heka 8, lina hati ukinunua unapewa na hati ya kiwanja. Bei mil 64 Tshs. Kwa maelezo zaidi piga simu number 0755955385.
0 Reactions
0 Replies
941 Views
NATIONAL RANCHING COMPANY LIMITED(KAMPUNI YA RANCHI ZA TAIFA LIMITED) NAFASI ZA WAKALA MAUZO (SALES AGENTS) WA NYAMA YA "KONGWA BEEF"NA NGOMBE HAI WATAKAOANZISHA...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
eneo linauzwa madale heka 8, lina hati ukinunua unapewa na hati ya kiwanja. Bei mil 64 Tshs. Kwa maelezo zaidi piga simu number 0755955385.
0 Reactions
3 Replies
965 Views
picha zinajieleza. gari iko katika hali nzuri kabisa, imetembea kilometer 18,000 tu tangu kuingia nchini. bei 12,500,000/- (milioni kumi na mbili, laki tano tu) 2500cc, vvti engine, AC, FM radio...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
COROLLA i 100 ipo ktk hali nzuri ukiichukua ni kwenda kuipiga rangi nyeupe tu ina full AC contact 0712 85 66 82 au 0715 63 70 61 Yombo dovya dsm
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ina vyumba viwili vya kulala kimojawpo kikiwa maste, sebure na jiko. Kodi shs 350,000 kwa mwezi. Unalipa kodi ya mwaka 4,200,000 pamoja na kodi ya mwezi ya wakara. Karibu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau,habarini za wikiend mwenzenu natafuta telescope ya kununua mitaani wapi naweza kuipata? mwenye nayo au anayrfahamu wapi naweza kupata aniPM au anipe namba za simu na bei yake JF daima
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom