Ipo na kila kitu chake , imetumika mwezi 1
-kuna charger
-earphones
-box lake
-manual
-(software za kuflash na customized images)
Haina mikwaruzo ya aina yeyote
nipigie 0655123683/0759123683...
simu ipo katika hali nzuri,imetumika kidogo tu,ipo dar es salaam kwa bei ya 220 000 kwa bahati mbaya simu haina charger na bei ni fixed.nitumie sms 0763 309632 au 0658 309632
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza nahitaji laptop mbili mpya za apple,budget yangu ni 1,800,000 kwa zote mbili..nipo arusha
contacts: 0715425054
Tuna bulk sms ambazo zinakuwa customized kwenye sender names unaweka ur name or ur business name instead ya ur number (kama msg za Mpesa na Tigopesa zikiingia zinaonyesha zimetoka MPESA au...
Nauza iphone 4s ya 16 gb,ina ios 5.1.1 bei tsh 500,000. Iko fresh kabisa, haina scratches hata kidogo. Tatizo network iko locked so line za bongo hazisomi.Inaweza kuwa unlocked ila hela ya ku...
Natafuta nyumba ya kupanga - iwe 2 bedroomed (1 master), maeneo ya Mbezi Beach kati ya Tangi Bovu - Makonde. Budget ni Tshs. 250,000 - 350,000.
Isiwe mbali sana na barabara na iwe na fence, luku...
iphone 4s 16GB black with 90 Applications ang games downloaded,videos,music,movies
it has charger, usb cable,screen protector and cover .selling for 670000tsh.call 0716805782
Habari zenu wana JF..
Nauza BAJAJ aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zipo barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000 Tshs). Zipo maeneo ya...
Ni simu moja ambayo imejitosheleza sana. Iko katika hali nzuri kabisa, na iko na applications kibao za ukweli. kama uko interested nicheck kwa 0715 841 111
Plot inauzwa bahari beach mita 300 toka baharini. ukubwa wake ni 5354sqm bei yake ni 800M(negotiable). kina hati na documents zote muhimu. kipo barabani na kinafaa kwa ujenzi wa petrol...
Wakuu natafuta mtu mwenye Plasma au LCD TV ichi kuanzia 32-48.
napendelea iwe either Sony, samsung, sinsung, panasonic, LG. (sina utaalam sana na hiki HD) kiwepo,
wataalam naamin watanielimisha...
1, Two consecutive plots for sale at Ndege beach [MBWENI] Area 1096 and 1318sqm with title deed issued in the year 2012 Term 33 years contact : 0714104788 or 0714107215
2. A land for sale at...
HABARI ZENU WAKUUU!
TUMELETA MZIGO MPYA WA APPLE I PADS ZIFUATZAZO, NI MPYA KWENYE BOX,ORIGINAL NA ZINA INTERNATIONAL WARRANTY YA 1 YEAR.
APPLE I PADS 2, 16GB, 3G NI $750
APPE I PADS 3, 16 GB...
Nauza iphone 4s ya 16 gb,ina ios 5.1.1 bei tsh 500,000. Iko fresh kabisa, haina scratches hata kidogo. Tatizo network iko locked so line za bongo hazisomi.Inaweza kuwa unlocked ila hela ya ku...
Nauza iphone 4s ya 16 gb, bei tsh 500,000. Iko fresh kabisa, haina scratches hata kidogo. Tatizo iko locked, na hela ya ku unlock sina. Kama uko interested ni pm, au piga 0717311420.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.