Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza panasonic tv/monitor 50 inch kwa 1.3m,for serious buyers only call 0718576505
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa tegeta wazo, kimepimwa kina hati na kipo kwenye eneo lililojengeka kwa mpangilio, kiwanja kina ukubwa wa sqm 2065, miundo mbinu ya maji, umeme na barabara ipo...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
khabari wanajamii! kuna nyumba ya kisasa inapangishwa maeneo ya tegeta kibaoni, nyumba imekamilika yaani [gypsum, tiles na madirisha ya alminium] nyumba ina vyumba 3 master1 public toilet, jiko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hp pavilion dv6000 for sale.ina 4gb ram,250 hard disk,ipo ktk hali nzuri sana ila ina tatzo la betri ukiwa poa waweza kuncheki kwa 0713 806 766.price 550000.
0 Reactions
1 Replies
812 Views
khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo ukuni block 4, kiwanja kimepimwa kina ukubwa wa sqm632, huduma za maji na umeme zipo bei yake ni ml 8. kwa mhitaji piga 0714 107 215 au 0714104788
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza used desktop (with CRT) zenye RAM 2 GB, HDD 160 GB, PROCESSOR 3.0 For only 250,000 tsh. Pia RAM 1 GB za desktop zipo for only 30,000 tsh. Vyote vipo market in a superbu condition. Kama uko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Jirani na kituo cha Daladala cha Mkwajuni. Nyumba ina hati na ina eneo zuri kwa biashara mbali mbali. Bei ni Milioni 60 pia maongezi yanakaribishwa. Kwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna watasha wanahitaji yenye uwezo wa kubeba watu 10.Iwepo Zanzibar ila watafanya booking online kwa mwenye nazo nicheki 0714 417398..!Asante sana
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Nyumba ya kisasa inapangishwa maeneo ya tegeta masaiti, nyumba ina master1 kubwa, vyumba3, sebule kubwa, dining, jiko la kisasa, public toilet, fensi, tiles, garden, maji na umeme vipo bie yake...
0 Reactions
2 Replies
947 Views
Ndugu wan JF naomba msaada kwa yeyote yule anayefahamu sehemu ambayo ina mashamba ya umwagiliaji kwa mikoa ya Dar es salaam na Pwani nahitaji kuanzaisha kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nokia C5-00.2 used iliyo kwenye hali nzuri inatakiwa haraka. Kama unayo, tafadhali ni-PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kiko Kibamba ni nusu eka, hakijapimwa ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba na kuna umeme karibu na maji ya bomba kama utahitaji kutumia hizo huduma. Muuzaji ni mimi mmliki wa kiwanja na sababu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapi ndani ya jiji la dar naweza kuwapata watengenezaji/wauzaji wa mifuko ya size mbalimbali kwa ajili ya kupaki bidhaa za aina mbalimbali kama mchele, maharage, vitunguu. Zaidi zaidi nataka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo zuri lenye ukubwa wa heka 2 linauzwa maeneo ya Kimbiji Kigamboni (35 km from Kigamboni Ferry) karibu na Kidagaa Beach, eneo la Mikenge. Ni shamba zuri ambalo lipo mita chache kutoka ufukwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF. Mimi ni kijana ninayeanza ujasiliamali, na hivi karibuni nimeanzisha biashara ya M-pesa na nafaka hapa Iringa. Napata wateja wengi sana kuliko uwezo wa mtaji wangu, nahitaji...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wadau naomba mnijulishe; Je kuna mahindi maalumu ya kutengezea bisi za biashara (yaani kuuza)? Kama kuna mahindi maalumu yanapatikana wapi kwa bei gani?
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Kiko maeneo ya tegeta njia ya kwenda wazo wanaita tegeta kwa makamba...ni eneo zuri,maji na barabara pouwa..nauza kwa vile uwezekano wa kurejea bongo kwa wakati huu ni mdogo...ukubwa ni nusu eka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani nahitaji kununua samsung galaxy tab online toka china. Naomba mwenye ufahamu juu ya online shopping anisaidie ni website gani ambayo ni reliable coz scammers nao ni wengi siku hizi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua source au origin au yanakotokea (mkoa, wilaya hata ikiwezekana vijiji maarufu kwa kilimo cha) matikiti na mapasion yanayoletwa hapa Dar es salaam.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom