Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF. Mimi ni kijana ninayeanza ujasiliamali, na hivi karibuni nimeanzisha biashara ya M-pesa na nafaka hapa Iringa. Napata wateja wengi sana kuliko uwezo wa mtaji wangu, nahitaji...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wadau naomba mnijulishe; Je kuna mahindi maalumu ya kutengezea bisi za biashara (yaani kuuza)? Kama kuna mahindi maalumu yanapatikana wapi kwa bei gani?
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Kiko maeneo ya tegeta njia ya kwenda wazo wanaita tegeta kwa makamba...ni eneo zuri,maji na barabara pouwa..nauza kwa vile uwezekano wa kurejea bongo kwa wakati huu ni mdogo...ukubwa ni nusu eka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani nahitaji kununua samsung galaxy tab online toka china. Naomba mwenye ufahamu juu ya online shopping anisaidie ni website gani ambayo ni reliable coz scammers nao ni wengi siku hizi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua source au origin au yanakotokea (mkoa, wilaya hata ikiwezekana vijiji maarufu kwa kilimo cha) matikiti na mapasion yanayoletwa hapa Dar es salaam.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nimeagiza gari BMW X5 ya mwaka 2001Nimenunua USd 9500. usafiri nimelipa USd2000 itawasili muda si mrefu.Kwa uzoefu wenu wadau nijiandae Tsh ngapi gari niwe nalo street. kwamaana ya kodi...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ipo hii habari. African budget airline start-up FastJet is to establish its first operating base at Dar es Salaam in Tanzania. The airline, which has backing from easyJet founder Sir Stelios...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mashine za bakery zinauzwa Nauza mashine za bakery ambazo nilinunua uingereza zilizotumika.Mashine hizi nilinunua kwa ajili ya kuzifanyia kazi lakini sikufanikiwa kufungua kutokana na sababu...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Mashine za bakery zinauzwa Nauza mashine za bakery ambazo nilinunua uingereza zilizotumika.Mashine hizi nilinunua kwa ajili ya kuzifanyia kazi lakini sikufanikiwa kufungua kutokana na sababu...
2 Reactions
2 Replies
8K Views
Je kuna mahindi maalumu ya kutengeneza bisi (pop corn) ambazo ni kwa ajili ya kuuza (kwa ajili ya biashara ya pop corn) au mahindi yoyote yale yanaweza kutumika kutengeneza pop corn? Kama yapo au...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama kuna mtu anafahamu duka hapa Dar linalouza leather halisi ya kutengenezea sofa,pia kama kuna mtu anamfahamu fundi wa kutengeneza au kukarabati sofa ambazo kitambaa chake ni leather,nahitaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
karibu kwenye blog yetu iliyoandaliwa na kutengenezwa na TZ BLOG DESIGN,Utapata bidhaa zote hususani simu kama vile HTC,BLACKBERRY,SAMSUNG,NOKIA etc,pia LAPTOP and other electronics ,PIA UNAWEZA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wakubwa, kama nilivoelezea hapo juu me naondoka kesho kwenda south kwahiyo mwenye kuweka order ya vitu hivyo plus flat screens za ukweli please tuwasiliane kwa mail baraka607@gmail.com hii...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu hapa jf. Naombeni bei za mashine za popcorn na nitazipata wapi hapa dar asanteni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Simu iko kwenye hali nzuri anaetaka nitamtumia picha kwa email ... Bei 350, 000/- price inashuka kidgo!!! Ina cover na screen protector tu .. Whatsapp-0688 06 10 10 !! Txt or CaLL 0656 664 714
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau natafuta Blackberry Torch 9810 used, maana msije mkanishambulia kuwa nikanunue dukani, kwa wale ambao wanataka kubadili simu basi tuuziane hizo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika dunia ya sasa kila anaetaka akupe biashara au unataka awe mteja wako lazima akuamini kwanza na uaminifu katika kazi huanza na muonekano,ufanisi na umakini. Legacy ni kampuni...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Kiwanja kinapatikana kwa bei ya 15m kipo salasala- Kidzudi maeneo ya mbezi beach kina ukubwa wa 60 kwa 44. Hakijapimwa umeme ulishafika siku nyingi na barabara nzuri. Pia kinaweza kukatwa nusu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Unauza au unahitaji kununua eneo/nyumba maeneo ya Sinza, Mikocheni Simu: +255 712 78-79-39, (SMS) +255 779 78-79-39 https://www.dallyestate.blogspot.com/
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom