Nauza Kiwanja

Nauza Kiwanja

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
492
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani na shule ya msingi, kwenye kona na maji yanapatikana hapo hapo. huna haja ya kuingia gharama ya kuvuta umeme kwani shirika hilo linavuta umeme. Bei maongezi.
Kwa mwenye kuhitaji piga 0773 422 205 au niandikie miwatamu@gmail.com
 
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani na shule ya msingi, kwenye kona na maji yanapatikana hapo hapo. huna haja ya kuingia gharama ya kuvuta umeme kwani shirika hilo linavuta umeme. Bei maongezi.
Kwa mwenye kuhitaji piga 0773 422 205 au niandikie miwatamu@gmail.com

Buyuni ni wapi huko?
 
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani na shule ya msingi, kwenye kona na maji yanapatikana hapo hapo. huna haja ya kuingia gharama ya kuvuta umeme kwani shirika hilo linavuta umeme. Bei maongezi.
Kwa mwenye kuhitaji piga 0773 422 205 au niandikie miwatamu@gmail.com

hapo tutajenga kanisa la kuchoma
 
Buyuni ni wapi huko?

Njia ya kuelekea Chanika mkuu kuna kituo kinaitwa TALIANI unashukia hapohapo kisha unafuata barabara ambayo inatokezea mbagala, kama unakumbukumbu kuna viwabja 20,000 vilipimwa na serikali. Ni mojawapo ya hivyo
 
Back
Top Bottom