Kuna shirika ambalo linatoa pesa kama mkopo kwa ajili ya biashara. Unaweza angalia website yao ni Enablis Entrepreneurial Network
Ofisi zao ziko Ubungo Plaza.Unaweza pia angalia Financial Sector...
Toshiba satellite L300..in Good condition
SPECIFICATION
Hard disk 250GB
Ram 2GB
Processor 2.1Ghz
Intel Dual Core
Webcam
DVD Writer
Windows 7 and much more
Tsh 530000/= tu.. MWANZA...
Hello Wakuu JF,
Hivi hawa ma contractors wa kichina huwa wanachukua contracts za kujenga nyumba binafsi za kuishi? Kama ndio, tupeane ushauri kutokana na experiences zetu, na pia contacts zao...
Wale waliosoma shule ya Msingi Ufukoni, Kigamboni naomba tuwasiliane ili niwapatie taarifa muhimu kuhusu shule hii mliyopitia. Naomba namba zenu kupitia PM.
Ahsante
Dkt Faustine Ndugulile...
Wana-JF nakuja tena kwa mara nyingine, tukiendelea kuhamasishana kujiajiri. Tafadhari kama mwana JF upatapo mteja/mtu mwenye kuhitaji huduma za wana JF wengine kama mimi, tusaidiane...
je unhitaji kupanga nyumba,chumba au unapangisha au kuuza ,basi suluhisho ni osnyo for you.tunahush=ika zaidi uwe unapangisha,unauza,unahitaji basi wasiliana nasi tukusaidie gharama zetu ni rahisi...
Naomba kwa yeyote anayefahamu naweza kuvipata wapi vitabu hivi anisaidie tafadhali.. 1.Impossible is possible 2.Know your limit then ignore them 3.An enemy called avarage by John mason 4.How to...
Wakuu hizo simu ni used but zipo safi sana S2 ni 520,000/= na c6-01 ni 250,000/= tu! If inerested PM me! or call me through 0656 299246 au whatsup kwa hiyo number.
Thanks all!
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini...
ndugu wana jf, salam
nina ndugu dada angu, amesomea mambo ya madawa, hizi kozi za tfda na anauzoefu mzuri wa kuuza maduka ya madawa , kwa sasa anatafuta kazi, yupo dar na ni mchapa kazi
kwa...
wana jf nauza kiwanja milion 3, ukubwa hatua 20 kwa 20. kipo mabwepande karibu na ofisi ya serikali za mitaa. mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu namba. 0713126942
Habari,
Nina mashamba na viwanja vilivopimwa maeneo ya kigamboni kwa bei ya kuanzia milioni nne kwa mashamba ya kuanzia heka moja (bei inazungumzika) NA kwa anayetaka viwanja vyenye hati...
Wna JF nauza scania 124/360 , bei mil. 52 lakini mtu kama yupo tayari anaweza kutoa advance nusu na nyingine akawa analipa kidogokidogo.
kwa maelezo zaidi ni PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.