Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna shirika ambalo linatoa pesa kama mkopo kwa ajili ya biashara. Unaweza angalia website yao ni Enablis Entrepreneurial Network Ofisi zao ziko Ubungo Plaza.Unaweza pia angalia Financial Sector...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toshiba satellite L300..in Good condition SPECIFICATION Hard disk 250GB Ram 2GB Processor 2.1Ghz Intel Dual Core Webcam DVD Writer Windows 7 and much more Tsh 530000/= tu.. MWANZA...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Hello Wakuu JF, Hivi hawa ma contractors wa kichina huwa wanachukua contracts za kujenga nyumba binafsi za kuishi? Kama ndio, tupeane ushauri kutokana na experiences zetu, na pia contacts zao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nahitaji kamera ya digital, nothing fancy, just click and shoot. bei na specs hapa Dar kama ipo. shukran, leh
0 Reactions
2 Replies
763 Views
wadau mwenye kufahamu mahali pazuri pa kuishi morogoro na pia kama anajua nyumba ya kupanga bei gani, tuwasiliane haraka
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bei ni 250,000/= piga namba 0657772693
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Wale waliosoma shule ya Msingi Ufukoni, Kigamboni naomba tuwasiliane ili niwapatie taarifa muhimu kuhusu shule hii mliyopitia. Naomba namba zenu kupitia PM. Ahsante Dkt Faustine Ndugulile...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Wana-JF nakuja tena kwa mara nyingine, tukiendelea kuhamasishana kujiajiri. Tafadhari kama mwana JF upatapo mteja/mtu mwenye kuhitaji huduma za wana JF wengine kama mimi, tusaidiane...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
je unhitaji kupanga nyumba,chumba au unapangisha au kuuza ,basi suluhisho ni osnyo for you.tunahush=ika zaidi uwe unapangisha,unauza,unahitaji basi wasiliana nasi tukusaidie gharama zetu ni rahisi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pata vifaranga wa bata mzinga wakubwa kwa wadogo pia bata bukini wanapatikana karibu 0757-662401
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kwa yeyote anayefahamu naweza kuvipata wapi vitabu hivi anisaidie tafadhali.. 1.Impossible is possible 2.Know your limit then ignore them 3.An enemy called avarage by John mason 4.How to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu hizo simu ni used but zipo safi sana S2 ni 520,000/= na c6-01 ni 250,000/= tu! If inerested PM me! or call me through 0656 299246 au whatsup kwa hiyo number. Thanks all!
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ni mpya kabisa inbox me kama unataka
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pata viwanja moshono kwa bei poa,yapo maeneo ambayo hayajapimwa bado ila yana umiliki wa wenyeji. Kwa mawasiliano piga 0752257207
0 Reactions
7 Replies
4K Views
ndugu wana jf, salam nina ndugu dada angu, amesomea mambo ya madawa, hizi kozi za tfda na anauzoefu mzuri wa kuuza maduka ya madawa , kwa sasa anatafuta kazi, yupo dar na ni mchapa kazi kwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Xbox 360 VGA HD AV Cable Wakuu!!! Mwenye hii 'Xbox 360 VGA HD AV Cable' naomba tuwasiliane kwa PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wana jf nauza kiwanja milion 3, ukubwa hatua 20 kwa 20. kipo mabwepande karibu na ofisi ya serikali za mitaa. mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa simu namba. 0713126942
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Nina mashamba na viwanja vilivopimwa maeneo ya kigamboni kwa bei ya kuanzia milioni nne kwa mashamba ya kuanzia heka moja (bei inazungumzika) NA kwa anayetaka viwanja vyenye hati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wna JF nauza scania 124/360 , bei mil. 52 lakini mtu kama yupo tayari anaweza kutoa advance nusu na nyingine akawa analipa kidogokidogo. kwa maelezo zaidi ni PM
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom