Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza original sumsung chat 222 mpya kabisa laki 1 na 20 haijatumika kabisa hata betri haijachajiwa.
0 Reactions
8 Replies
42K Views
Nauza laptop ibmgb 80haina betri,na chaja yake ni nzima ila haiko katika hali nzuri.bei maelwano
0 Reactions
1 Replies
990 Views
kipo maeneyo ya ponde karibu na barabara ya rami kutoka kigamboni feri ni km 20 kwa gari ukifika ponde kilipo ni ni mita 150 tuu toka barabara ya rami ki upana wa 67kwa 55 kasikazini kusini 70...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama nilivyoliandika tangazo kwa yeyote mwenye NOKIA x2 au simu nyingine yoyote inayosupport whatsapp anitafute haraka .... DAU LANGU NI 95000 HADI LAKI MOJA KAMILI MWISHO...... Napatikana Mabibo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In a good condition,contact 0717787631 for more details.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Brand new!!.. +255 756 412 337 Nitumie Offer Zenu
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Nauza blackberry bold 9780 kwa 400000 ipo katika hali nzuri imetumika haujafika hata mwezi,bei inapungua kwa alie serious.0717592335
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza SQ C9 mchina used Sifa: Ina double line, radio, kioo kipana, charger hata pin ndogo ya nokia inatumia,memory card slot, inaweza kurekodi maongezi,camera, inatunza meseji mpaka 170,calendar...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ram 4gb+ Processor 2.3(and above)0r core i3 Hd 500gb(and above) Dell, sumsung, toshiba,Hp or other.. NB: iwe original,. With regards
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Used or new.....Niper offer zenu ama ni text kwenda numb +255 756 412 337
0 Reactions
0 Replies
999 Views
wakuu nauza hiyo simu,meitumia for six months,ipo kwenye hali nzuri,ina internet,bluetooth,ni double line na ina redio....plus QWERTY keyboard..naiuza kwa sababu nataka kubadili simu ,bei...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Simu iko poa haina tatizo, ila haina kifuniko cha kwnye betri lakin ina cover. call:0656063933
0 Reactions
5 Replies
1K Views
i need a reggae and dancehall songwriter for my clients. PM me if interested.
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Music producer anatafuta studio. studio iwe imekamilika kwa vifaa, na mmiliki awe ni mtu anayejua maana ya muziki.. producer amekwisha fanya kazi na wasanii kama vile Alikiba na PNC na wengine...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nina nyumba nyakato temeke, mita 200 tu toka barabara ya mwz-musoma,ina vyumba 3 kimoja self contained, ina fance ya ukuta, sebure kubwa, dinning, nje pana servant quota chumba na choo/bafu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MAMBO VP WAKUU NAHITAJI HIYO AC ALIYOKUWA NAYO AU ANAYEJUWA NAPOWEZA KUPATA ANIJULISHE KWA CALL 0715-388666 AU NI PM AU NI EMAIL : mohdnass3@gmail.com SHUKRAN!
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Godauni ya mazao inauzwa ina uwezo wa kuhifadhi tani 500 za mazao na ina mashine kubwa mbili ndani za kukoboa mpunga zenye uwezo wa kukoboa tani 50 kwa siku. Liko barabarani pembeni ya stendi kuu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iPad first , second and third generation used zinauzwa. 1. iPad firt generation @Tsh 480,000 /= 2. iPad second generation @Tsh 750,000 /= 3. iPad third generation @Tsh 900,000. Mawasiliano...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf nauza iphone ambayo nimeinunua mpya dubai risiti ninayo nimeitumia wiki mbili tu na hata tukiuziana mahakamani ni sawa tu, condition yake bado ni mpya na haina hata mchubuko hata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi nauza nyuma iliyopo tabata segerea, karibu na kota za nssf. Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba vitatu ikiwemo materbedroom kubwa sana, sitting room kubwa, dining room, kitchen...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom