wadau natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya sinza ,mwenge ,kijitonyama ,iwe na fence ya ajili ya parking ya magari mwenye taarifa nijuze humu then nita ku pm
mzigo wa simu used but in a mint condition.
Kuna HTC wild fire za kumwaga kwa lak 220,000/=
Kuna HTC desire za kumwaga kwa 270,000
Kuna samsung galaxy s1 za kumwaga kwa 420,000/=
Kwa...
kipo maeneyo ya ponde karibu na barabara ya rami kutoka kigamboni feri ni km 20 kwa gari ukifika ponde kilipo ni ni mita 150 tuu toka barabara ya rami ki upana wa 67kwa 55 kasikazini kusini 70...
Kama nilivyoliandika tangazo kwa yeyote mwenye NOKIA x2 au simu nyingine yoyote inayosupport whatsapp anitafute haraka ....
DAU LANGU NI 95000 HADI LAKI MOJA KAMILI MWISHO......
Napatikana Mabibo...
Nauza SQ C9 mchina used
Sifa: Ina double line, radio, kioo kipana, charger hata pin ndogo ya nokia inatumia,memory card slot, inaweza kurekodi maongezi,camera, inatunza meseji mpaka 170,calendar...
wakuu nauza hiyo simu,meitumia for six months,ipo kwenye hali nzuri,ina internet,bluetooth,ni double line na ina redio....plus QWERTY keyboard..naiuza kwa sababu nataka kubadili simu ,bei...
Music producer anatafuta studio. studio iwe imekamilika kwa vifaa, na mmiliki awe ni mtu anayejua maana ya muziki.. producer amekwisha fanya kazi na wasanii kama vile Alikiba na PNC na wengine...
Wakuu nina nyumba nyakato temeke, mita 200 tu toka barabara ya mwz-musoma,ina vyumba 3 kimoja self contained, ina fance ya ukuta, sebure kubwa, dinning, nje pana servant quota chumba na choo/bafu...
MAMBO VP WAKUU
NAHITAJI HIYO AC ALIYOKUWA NAYO AU ANAYEJUWA NAPOWEZA KUPATA ANIJULISHE KWA CALL 0715-388666 AU NI PM AU NI EMAIL : mohdnass3@gmail.com
SHUKRAN!
Godauni ya mazao inauzwa ina uwezo wa kuhifadhi tani 500 za mazao na ina mashine kubwa mbili ndani za kukoboa mpunga zenye uwezo wa kukoboa tani 50 kwa siku. Liko barabarani pembeni ya stendi kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.