Nissan partol inauzwa bei poa

Nissan partol inauzwa bei poa

Kingsimba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
382
Reaction score
121
Nissan partol manual five door black metaric........imetembe kilometa chache ipo oda bado inauzwa bei chee milion 19..... Anae hitaji nipigie 0713935738
 
Au unajifurahisha?unaonekana kama muhuni muhuni hivi.Promo yako haieleweki,hakuna picha,location,kilometres iliyokimbia,ni ya mwaka gani,cc?ni ya kiume au ya kike???etc................
 
Kesho nitaenda kupiga picha nitaziweka iko bomba sana
 
Hata detsils muhimu nazo unaenda kuzipiga picha au na wewe umesikia kwa mtu mkuu????
 
Hivi kati yenu kuna mnunuaji wa gari kweli....naona dhalau zimewajaa midomoni....alafu unakuta watu wenyewe hata kulala mna lala geto au kwa mjomba.....hizi internret cafe zina mambo kweli...
Msijali naweka picha mda sio mrefu.
 
Hivi kati yenu kuna mnunuaji wa gari kweli....naona dhalau zimewajaa midomoni....alafu unakuta watu wenyewe hata kulala mna lala geto au kwa mjomba.....hizi internret cafe zina mambo kweli...
Msijali naweka picha mda sio mrefu.
Sidhani kama kuna muuzaji wa gari hapa!
 
Photo0453.jpg Photo0459.jpg Photo0455.jpg Photo0451.jpg
mzigo ndio huu.....ni nyinyi tuu....full A/c kitu kimetembea km laki na na sabini/cc 500 six silinda.....lather seat manual
 
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeee babaangu inatumia mafuta gani mbona ujasema sema bwana kama ni mafuta ya taa dizel au petroli
 
Nissan partol manual five door black metaric........imetembe kilometa chache ipo oda bado inauzwa bei chee milion 19..... Anae hitaji nipigie 0713935738

Madalali bana...... Eti milioni 19!!!!! Si bora niongezee milioni 19 zingine ili ninunue LANDCRUIZER mpya, kuliko hako ka-nissan kanakopiga chafya utafikiri kananusa ugoro.....
 
Madalali bana...... Eti milioni 19!!!!! Si bora niongezee milioni 19 zingine ili ninunue LANDCRUIZER mpya, kuliko hako ka-nissan kanakopiga chafya utafikiri kananusa ugoro.....

haupo peke yako mko wengi tuu humu....na hiyo ndio tabia yenu wazee wa kujishaua halafu huna chochote....hi tred me ndio nimeifungua sasa ukiwa umeshindwa pita mbali..gali nalo lina asili ya watu....we baba yako hata tololi hajawai kumiliki ndio umiliki wewe mtoto..
 
Madalali bana...... Eti milioni 19!!!!! Si bora niongezee milioni 19 zingine ili ninunue LANDCRUIZER mpya, kuliko hako ka-nissan kanakopiga chafya utafikiri kananusa ugoro.....

Kaka ukipata hiyo land cruiser mpya kwa hiyo bei tafadhali ni pm na mimi
 
Madalali bana...... Eti milioni 19!!!!! Si bora niongezee milioni 19 zingine ili ninunue LANDCRUIZER mpya, kuliko hako ka-nissan kanakopiga chafya utafikiri kananusa ugoro.....

Mashauzi classic. Mtu mwenye uwezo wa kuwa na milioni 38 hawezi kuwa online JF saa nane usiku. Hiyo Land Cruiser yenyewe huwezi hata kuiandika. ACHA NISHAI MKUU.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mashauzi classic. mtu mwenye uwezo wa kuwa na milioni 38 hawezi kuwa online jf saa nane usiku. hiyo land cruiser yenyewe huwezi hata kuiandika. Acha nishai mkuu.

Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums

uwiiiiiii!!!!! Wana jf tumetukanwa......tumetukanwa jamani tumetukanwaaaaaaaa....... Kumbe mtu yeyote tajiri hawezi kuwa jf saa nane usiku????? Na kumbe jamii forum ni ya watu wenye kipato cha chini wenye kipato kikubwa hawaingii jf????? Na kumbe mtu akishindwa kuandika vizuri neno (to spell landcruiser-akaandika "landcruizer") ni mtu mwenye kipato duni???? Uwiiiiiiiiiii!!!!! Mods mmeliona hili??????
Jf ni ya watu maskini tu kumbeeeeeeeeee????????? Ninauchungu sana...........
 
uwiiiiiii!!!!! Wana jf tumetukanwa......tumetukanwa jamani tumetukanwaaaaaaaa....... Kumbe mtu yeyote tajiri hawezi kuwa jf saa nane usiku????? Na kumbe jamii forum ni ya watu wenye kipato cha chini wenye kipato kikubwa hawaingii jf????? Na kumbe mtu akishindwa kuandika vizuri neno (to spell landcruiser-akaandika "landcruizer") ni mtu mwenye kipato duni???? Uwiiiiiiiiiii!!!!! Mods mmeliona hili??????
Jf ni ya watu maskini tu kumbeeeeeeeeee????????? Ninauchungu sana...........

kujamba ajambishwe mwingine, mishipa ikuume wewe. Kama una uchungu si ukimbilie leba, jf hamna wakunga huku. Ndo'nyie mwisho wa siku mnasababisha ukosefu wa mvua nchini.
 
kujamba ajambishwe mwingine, mishipa ikuume wewe. Kama una uchungu si ukimbilie leba, jf hamna wakunga huku. Ndo'nyie mwisho wa siku mnasababisha ukosefu wa mvua nchini.

Siku hizi JF ina mazezeta wengi.....
 
Back
Top Bottom