Nauza hio pikipiki bei ya kutupa (ukita kadi isome majina yako ni ndani ya saa 24 tayari kadi inasoma majina yako)
Imetumika kwa matumizi binafsi haijafanya kazi ya boda boda
Bado haijaguswa na...
Hellow wana JF... dada yenu nimekuja kwenu ndugu zangu... natafuta chumba chenye choo ndani (self contained) urgently
Maeneo iwe Kigamboni yoote.. ikiwa barabara ya Kisiwani au mji mwema mpaka...
Bonjour,
Natafuta mtu wa kunifundisha " Cryptocurrency/ Binance, maswala ya kununua na kuuza coin mtandaoni.
Awe dar es salaam, utanifundisha physically, sio online.
Gharama tutaongea.
Nichek PM.
Wakuu poleni n majukumu na kheri ya Christmas na mwaka mpya
Aisee nahitaji Chumba cha kupanga maeneo ya vikindu Mkoani Dar, ambacho either ni Masters/chumba na sebule/chumba sebule na jiko...
Habari wana jf! Yoyote mwenye kujua contact za office zinazojishughulisha na laser cutting na laser engraving naomba aweke kwenye comment au ni private message.
Salamu kwenu wanajukwaa.
Huu ni uzi mahususi kwa kile nachokifanya nitakuwa nikishare nanyi kazi nazozifanya kwa kadri nitakavyoweza lengo kuu ni kutoa elimu na kupata connection mpya za kazi...
Kuuza Kiwanja/Shamba/Jengo Kwa Hamasa Kubwa
Hamasa ya muuzaji ni kile kinachomsukuma mmiliki auze ndani ya siku anazotegemea. Hamasa inaweza kuwa moja ya mambo yafuatayo:-
✓ Kutalakiana kwenye...
Gari zinauzwa bei kitonga na mazungumzo yapo Harrier Lexus 12,000,000/=,Benz na Crown Majester Blue 9,000,000/= kila moja na White Majester 8,000,000/=
Karibu tuzungumze 0777949284
Wakuu,
Nasikitika kutangaza kufungwa kwa Jukwaa la Dini.
Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.
Ukweli ni kwamba...
Nimwanafunzi wa mechanical engineering.... Na design motor za DC na AC ...kwa maelewano ....nazingatia ubora na mahitaji husika....
Mawasiliano
+255715797533
+255766047815
Hata kabla sijatangaza kuwa naoa, nilikuwa na hofu kuhusu Ma X zangu wawili, nilijua kutokana na Ukaribu wa familia zetu lazima habari zingewafikia na lazima wangekuwepo siku ya Harusi yangu...
Habari Wadau wa jukwaa la ujasiriamali.
Nina shamba la hekari 20 nataka kulilima kwa kilimo cha umwagiliaji ambao tayari nimeshachimba kisima. Sasa natafuta pampu nzuri yenye ubora mzuri wa...
Mmiliki wa gari aina ya Toyota IST mwenye shida na fedha ya haraka, namba zinazonzia
DP..DQ..DR....DS...na kuendelea anicheki inbox bajeti yangu ni Tsh.8.5mil.
Tafadhali madalali habari ya...
Habari wanajf, msaada tutani mwenye kufahamu napoweza kupata mtu anayetoa gari kwa mkataba au kama muhusika yupo humu naomba anisaidie, experience ipo ya zaidi ya miaka miwili tutakubaliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.