Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ANVIZ T5 Pro - Ni mpya - Unaweza tumia kama Access Control na Time/Attendance system - Inatumia Fingerprint na MFID Cards - TCP/IP, RS485 na Mini USB Port Bei ni 350,000/=
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau bila kuwachosha. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kwa ufasaha zaidi mwenye bidhaa hiyo au pengine anafahamu inakopatikana kwa wingi tupeana connection.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Samahani wapendwaa natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote Bf1 na Bf2, hivyoo kwa mtu yoyote anaejua connection na watu wanaoweza kununua naomba aniunganishe nao, awali wanunuzi wangu...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Habari, Kama kichwaa kinavo jielewaa hapo juu, natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote yaan Bf1 ubora wa kwanzaa na Bf2 ubora wa pili, majani yapo ya kutoshaa, hivyo naomba mwenye...
1 Reactions
0 Replies
680 Views
Small deep freezer, used needed. Hello wakuu nahitaji deep freezer Kadogoo kwa ajili ya kuwekea chakula cha mbwa wangu , sio mpya wakuu , Itakuwa vizuri sana kama kako ARUSHA , bei iwe rafiki ...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Wakuu nahitaji modem ya TTCL Kwa mtu yoyote ambae anauza na Yuko Dodoma please nidm Nataka Ile ambayo ina WiFi na mtu zaidi ya mmoja anaweza kukonect
0 Reactions
0 Replies
569 Views
Hard disk za laptop mpya 500 GB = 45,000 tsh Ukihitaji kuanzia mbili bei inapungua kwa mawasiliano zaidi 0621 089 762 tupo dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ina kodi ya miaka 8,imetazama barabara unaweza kuuza vipodozi, vitenge, mashuka mapazia, nguo n.k, ipo lumumba Mwanza mjini 0717072172
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunatoa Huduma za kitaalamu za Electrical, Electronics na Smart Security system HUDUMA ZETU 1.kuunda kifaa au kutengeneza mchoro wa kifaa cha kielectronics kulingana na wazo(idea) ya mteja,kwa...
1 Reactions
0 Replies
538 Views
Ofa pata madirisha na milango ya Aluminium kwa bei zifuatazo Dirisha la futi 5x5 ni 260,000 Dirisha la futi 5x6 ni 270,000 Dirisha la futi 6x6 ni 280,000 Dirisha la futi 6x7 ni 300,000 Dirisha la...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za asubuhi. Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000 Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000 Dolphin, automatic, 12 kg Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90% Ina...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets) ● Bei zetu na uwezo wake kwa saa. 100kg/hr=1,700,000/= 150kg/hr=1,800,000/=...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nguo jumla zipo zenyewe ni kadet zipo 4 jeans zipo 3 track suit 1 Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote. Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu. location: Ubungo Kibangu nitumie...
1 Reactions
13 Replies
711 Views
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand) Warranty 6 Months Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana 0764081567 Free Charger Free Cover Free delivery in Dar...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Anaeuza paka chotara, nanunua naomba tuwasiliane... 0625489043
1 Reactions
0 Replies
381 Views
Kama kichwa kinavojieleza, Tafadhali nielekeze nakoweza kuyapata. Asante.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ipo Kibada KISARAWE ll kigamboni Ina vyumba vitano vitatu masters Sitting room dining room jiko stoo Na public toilet bei milioni 200 Mzungumzo pia yapo ukubwa wa kiwanja SQM 883 ina hati miliki...
2 Reactions
4 Replies
645 Views
Wakuu nauza Laptop yangu Hp Probook. -kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue...
0 Reactions
8 Replies
697 Views
Pata kiwanja Fukayosi Bagamoyo kwa Cash Tsh 1500 kwa Sqm 1 na mkopo Tsh 2000 kwa Sqm Muda wa mkopo ni miezi sita Malipo ya awali 20% Mfano ukichukua kiwanja chenye sqm 500 ukalipa kwa Cash bei...
0 Reactions
4 Replies
853 Views
Bei ya chumba isizidi elf 30 kwa mwez. Ambaye anamjua dalali anitafute kwa namba hii 0656376814 Pesa ipo mfuko wa shati
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Back
Top Bottom