ANVIZ T5 Pro
- Ni mpya
- Unaweza tumia kama Access Control na Time/Attendance system
- Inatumia Fingerprint na MFID Cards
- TCP/IP, RS485 na Mini USB Port
Bei ni 350,000/=
Habari wadau bila kuwachosha. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza kwa ufasaha zaidi mwenye bidhaa hiyo au pengine anafahamu inakopatikana kwa wingi tupeana connection.
Samahani wapendwaa natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote Bf1 na Bf2, hivyoo kwa mtu yoyote anaejua connection na watu wanaoweza kununua naomba aniunganishe nao, awali wanunuzi wangu...
Habari,
Kama kichwaa kinavo jielewaa hapo juu, natafuta soko la majani ya chai kwa grade zote yaan Bf1 ubora wa kwanzaa na Bf2 ubora wa pili, majani yapo ya kutoshaa, hivyo naomba mwenye...
Small deep freezer, used needed.
Hello wakuu nahitaji deep freezer Kadogoo kwa ajili ya kuwekea chakula cha mbwa wangu , sio mpya wakuu , Itakuwa vizuri sana kama kako ARUSHA , bei iwe rafiki ...
Tunatoa Huduma za kitaalamu za Electrical, Electronics na Smart Security system
HUDUMA ZETU
1.kuunda kifaa au kutengeneza mchoro wa kifaa cha kielectronics kulingana na wazo(idea) ya mteja,kwa...
Ofa pata madirisha na milango ya Aluminium kwa bei zifuatazo
Dirisha la futi 5x5 ni 260,000
Dirisha la futi 5x6 ni 270,000
Dirisha la futi 6x6 ni 280,000
Dirisha la futi 6x7 ni 300,000
Dirisha la...
Habari za asubuhi.
Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000
Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000
Dolphin, automatic, 12 kg
Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90%
Ina...
Tunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets)
● Bei zetu na uwezo wake kwa saa.
100kg/hr=1,700,000/=
150kg/hr=1,800,000/=...
Nguo jumla zipo zenyewe ni
kadet zipo 4
jeans zipo 3
track suit 1
Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote.
Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu.
location: Ubungo Kibangu
nitumie...
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand)
Warranty 6 Months
Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana
0764081567
Free Charger
Free Cover
Free delivery in Dar...
Ipo Kibada KISARAWE ll kigamboni
Ina vyumba vitano vitatu masters
Sitting room dining room jiko stoo
Na public toilet bei milioni 200
Mzungumzo pia yapo ukubwa wa kiwanja SQM 883 ina hati miliki...
Wakuu nauza Laptop yangu Hp Probook.
-kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue...
Pata kiwanja Fukayosi Bagamoyo kwa Cash Tsh 1500 kwa Sqm 1 na mkopo Tsh 2000 kwa Sqm
Muda wa mkopo ni miezi sita
Malipo ya awali 20%
Mfano ukichukua kiwanja chenye sqm 500 ukalipa kwa Cash bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.