Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau hivi nawezaje kuzuia matangazo wakati nipo mtandaoni au kwenye app flan kuna matangazo yanapita sana yanakera af unashindwa kufanya kitu.
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Mwenye hizo bidhaa tuwasiliane haraka. 11pro iwe 256gb. S10 iwe black. Biashara ni leo na kesho tu
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Ndugu zangu mimi sio mtumiaji wa Ipad ila nina uhitaji nayo wa dakika tano tu. Nahitaji kuchukua App yangu screenshot za App Store na baada ya hapo ndio mwisho wa matumizi yangu Kama unayo basi...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Credibility ni muhimu sana katika mafanikio binafsi na kibiashara. Ili uweze kufikia mafanikio, katika muktadha huu, unahitaji kujenga uaminifu na heshima katika jamii au sekta fulani. Ili kujenga...
0 Reactions
1 Replies
942 Views
Habari wanajamii Baada ya kuja na wazo la kuwaagizia watu bidhaa China kufeli Kisha wazo wa kuwauzia Yuan za china na kuwasaidia manunu pia kufeli Nimeona Sijaandikiwa kusaidia watu bali ichi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jodam-supply njoo ujipatie hisense inchi 65 kwa bei poa saana ●Ina warranty ●Bluetooth ●4k price 1 700,000 napatikana kariakoo mtaaa wa ndanda Nipigie simu kwa 0768101677
2 Reactions
6 Replies
789 Views
Habari nauza simu aina tajwa hapo juu. ipo kwa good condition , clean and kila accessory ipo pamoja including charge , air phone and mawasiliano ni. 0756294771....
0 Reactions
4 Replies
845 Views
Habari Jku. Kwa wale waliofanikiwa kujenga na watakaojenga, baada ya nyumba kukamilika, huwa kunawekwa bomba za kukinga maji ya mvua, zinaitwa gutters. Kipindi mvua inaponyesha hizi gutters...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Ndugu wanabodi,tunafundisha utengenezaji (ufumaji) was masweta,kofia,scarf nk kwa kutumia machine.Ada yetu ni tsh 300,000/=(laki tatu ).Mda Wa mafunzo ni miezi 2 lakini tunaweza kuongeza mwezi...
4 Reactions
41 Replies
17K Views
Monaco ni jina la brand ya saa inayojulikana sana na yenye umaarufu wa kimataifa. Inatengenezwa na kampuni inayoitwa TAG Heuer, ambayo ni moja ya watengenezaji wa saa wa hali ya juu zaidi duniani...
0 Reactions
1 Replies
772 Views
Habari,Nauza pikipiki yangu aina ya boxer 150 namba c na ipo katika hali nzuri ,yaani sitata inapiga nakuondoka Bei ni mil.1 na laki 2 Nipo mkoani mbeya wilaya ya mbarali ,rujewa
1 Reactions
3 Replies
849 Views
Hello, Watanzania habari? BYRA TOILET CONSTRUCTORS Tunachimba na kujenga shimo la choo kwa mfumo wa kisasa usiojaa maji taka wala kutoa harufu kwa mda mrefu sana..kwa gharama zifuatazo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Angalia hii attachment Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
5K Views
NISSAN FUGA 🚘 ✔️PRICE 7 MIL ✔️YEAR 2004 ✔️CC 2490 ✔️COLOUR PEARLY WHITE ✔️LOW MILAGE ✔️FULL AC ✔️FULL DOCUMENT ✔️GARI MKWAJU SANA HAINA TATIZO LOLOTE ✔️LOCATION DSM, BUNJU CALL +255 734 766 126
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Habari ,ninauza piki piki yangu aina ya boxer 150 namba c, Piki ipo ktk hali nzuli inatembelea na taili ya nyuma bado mpya kabisaaa. Piki piki ipo dar es salaam , chanika. Bei ni sh 580000...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Habari za wakati huu kwa anayehitaji Soya anaweza kunitafuta ili tufanye biashara karibuni sana
0 Reactions
3 Replies
372 Views
Ni tofali zinazokatwa kwenye Mwamba/mawe zina mwonekano wa kipekee, ngumu /imara mara 5 zaidi ya tofali za kawaida unaweza usipige plasta na ukahamia na ukaenjoy kuishi hapo.
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana jf. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, 👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu. 👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana Jamii, Tunauza vyomba vya nyumbani Bei za jumla na rejareja. Kwa yeyote anayetaka kuanzisha biashara Kwa Bei nafuu awasiliane nasi namba 0719-756640. Bei zetu; 50pcs : 190,000/- 100pcs...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama unaitaji system za kila haina karibu sana, utatengenezewa system kwa bei nafuu sana. School management system Online examination system HR management system Collage management system...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Back
Top Bottom