Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

PHONE:TCL 30 XE 5G MPYA HAINA KIPENGELE TSH 250,000/= GB 64 RAM GB 4 INTERNET 5G BATTERY 4500mAh MEMORY CARD SLOT[emoji736] FINGER PRINT[emoji736] MPYA KABISA Call 0713579248
0 Reactions
1 Replies
464 Views
Habari wakuu.. Ninaimani mpo njema mkiimalizia weekend.Ningependa kuchukua muda huu kushare a.b.c juu ya mfumo wa kisasa wa masoko wa digital marketing.Mfumo ambao unaaminika kila mfanyabiashara...
13 Reactions
34 Replies
6K Views
Habari! Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao. Dagaa hao...
1 Reactions
0 Replies
488 Views
Wakuu natumai mko njema kabisa. Kwa wakazi wa Dar es salaam nawasogezea huduma hii adhimu kabisa. Natoa huduma ya kuuza maziwa ya ng'ombe halisi kabisa, ni maziwa ya ng'ombe OG. Namanisha kuwa ni...
14 Reactions
34 Replies
3K Views
Habari waungwani, wafanyabiashara wa viatu,ninampango wa kuanza kufanya biashara ya simple shoes za kike Kwa anayeweza kunipa diteliz za uhakika namkaribisha Wasapu 0673817130 tufanye biashara pamoja
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu. Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju. Lakin pia Ubungo kwenda...
11 Reactions
115 Replies
16K Views
NYUMBA ionekanayo pichani inaizwa TSH 15,000,000 (milioni kumi na tano) mazungumo Yapo -vyumba 2 vya kulala kimoja máster -Sebule -jiko -publick toilet NYUMBA ipo Mbagala Dar es Salaam maji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
J & J Power Professionals ni wataalam wa umeme ambao wanatoa huduma kwenye majengo ya Serikali na watu binafsi Tunahusika na: -Wiring ( domestic na industrial) installations - Umeme jua (Solar...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Ninafanya utafiti wa bei ya Ardhi dodoma kwa ujumla wake viwanja ukubwa kati ya square meter 600-1500 Mahitaji eneo la Ilazo na maeneo ya Jirani kiwanja kilichopimwa na pia skwata iliyo rasimishwa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
AirTags zilitangazwa katika hafla ya uzinduzi wa Apple mnamo tarehe 20 Aprili 2021. Zitatolewa tarehe 30 Aprili, lakini unaweza kuagiza mapema wakati huo sasa. Maagizo ya mapema yalianza tarehe 23...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Je Umekuwa ukitafuta web Hosting ya Gharama nafuu na Umekosa, hapa ndo penyew pata web Hosting Bora na Nzur kwa Kazi zako sasa, niko na Offer hapa Plan 1 2 - 4 GB RAM and 2 CPU CORE Linux...
0 Reactions
4 Replies
835 Views
Hello GT , nahitaji IT wa kunitengenezea website ndogo , Awe ARUSHA na bei iwe rafiki , Asante sana ,
0 Reactions
7 Replies
609 Views
KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIMEPEWA ISBN 978-9912-41-699-4 ( MAKTABA YA TAIFA ) Furaha yangu ni kuambiwa kwamba uandishi wangu ni Tiba, Uokozi na Ujenzi wa Taifa, nimepata furaha...
0 Reactions
4 Replies
579 Views
Last Friday nimepata uzoefu kidogo wa soko la nguo za wadada Ilala japo wanunuzi wenzangu na wauzaji walijua kabisa mimi ni mgeni pale. Nilinunua magauni matatu kwa wale wanaonadi kila gauni kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
JIKO LA MKOPO. 40700/= Okoa gharama ya gesi na mkaa. Ivisha maharage Kwa Tsh 350 tu. Umeme kidogo , okoa muda jikoni Tutafute kwa namba Whatsap. 0620135671 Call and sms 0620135671
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Nimekwenda sehemu za mkoa wa pwani bush kabisa nimekuta vijana wa bodaboda wananunua petroli ya.kulima kwa chupa. Nomeshawishika niwajengee angalau kituo simple cha petrol. Swali kituo simple...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye laini za safaricom naomba uniambie ulipo nije kununua ukiwa Tanga,Arusha au Dar itapendeza zaidi
1 Reactions
32 Replies
5K Views
imeuzwa!!
1 Reactions
0 Replies
812 Views
Nahitaji anaeuza sukari nyeupe ila sio k.k Mwenye anaweza pata namjomba pm
1 Reactions
1 Replies
959 Views
habar ndug wafugaj wenzang, polen na changamoto za maisha ya ufugaj, kama mada inavyojieleza hapo juu kwa wakazi wa handeni-tanga naomba kwa anaetoa huduma ya kutotoresha mayai aina zote bac...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Back
Top Bottom