MONRACE
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 272
- 639
Hellow wana JF... dada yenu nimekuja kwenu ndugu zangu... natafuta chumba chenye choo ndani (self contained) urgently
Maeneo iwe Kigamboni yoote.. ikiwa barabara ya Kisiwani au mji mwema mpaka Ferry itapendeza saana, karibu na barabara muhimu kuwe na maji+ umeme na kiwe kwenye hali nzuri. Pesa ya dalali mwezi mzima SINA ila "kifuta jasho" kwa mtu wa kuniunganisha kinapatikana, najua kuna watu mna nyumba na kuna watu mnawafahamu wenye nyumba kindly connect me with them...
Budget 60,000-70,000/=
Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaandika namba yangu ya simu ya mkononi hapa bali waweza kucoment kisha nitakuja private thank you in advance.
Maeneo iwe Kigamboni yoote.. ikiwa barabara ya Kisiwani au mji mwema mpaka Ferry itapendeza saana, karibu na barabara muhimu kuwe na maji+ umeme na kiwe kwenye hali nzuri. Pesa ya dalali mwezi mzima SINA ila "kifuta jasho" kwa mtu wa kuniunganisha kinapatikana, najua kuna watu mna nyumba na kuna watu mnawafahamu wenye nyumba kindly connect me with them...
Budget 60,000-70,000/=
Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaandika namba yangu ya simu ya mkononi hapa bali waweza kucoment kisha nitakuja private thank you in advance.