Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Infinix smart6 inauzwa Bei ni 150000 tu Haina shida yoyote Mawasiliano, 0698235368.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna msemo wa Kiswahili usemao: "mali bila daftari, hupotea bila habari." Mfanyabiashara makini hufahamu hili na ndio maana haachi kutunza kumbukumbu za biashara yake. Utunzaji wa taarifa za...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, Ni duka lipi? lenye hii simu mpya original kabisa nalitafuta?
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Ongeza maarifa kupitia mwongozo wa vitabu vya kilimo bora cha kisasa na ufugaji bora wa kisasa kwa Tsh 2,000 tu kwa kila kitabu. ( e-book) Vitabu hivi vipo kwenye mfumo wa softcopy (pdf) na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
.
0 Reactions
1 Replies
367 Views
Habari wana Jamiiforums, Mimi ni mgeni jijini Arusha, natafuta kiwanja maenezo mazuri yaliyotulia ambacho kitafaa kwa apartment au min hotel…naomba recommendation zenu sehemu gani ni nzuri kwa...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau naomba mnielekeze wapi Kwa dar naweza pata Car washi inayoongoza kwenye uoshaji wa gari na kung'oa VITI kuisafisha ikarudi kwenye upya wake? Gharama si tatizo please
1 Reactions
1 Replies
451 Views
Wadau nahitaji mbegu bora za papai aina ya Carina na mwenye kuzijua vizuri anipe ujuzi namna ya kuandaa Miche na huduma zake hadi kuvuna. Shamba ni ekari moja na nusu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nimejaribu kupitia Alibaba naona kama bei ya magari ni mchelea kuliko huko kwingine, najiuliza kwanini watu hawaagizi kupitia Alibaba Check out this product on the Alibaba app: NEWLY USED...
1 Reactions
4 Replies
633 Views
TANGAZO TANGAZO Kampuni ya AQUARIAN PROJECT SOLUTIONS iliyoko jijini Mwanza kupitia LILIAN KITCHEN CATERERS na DW CLEANING SERVICE inapenda kutangaza nafasi za ajira kama ifuatavyo Nafasi 20 za...
2 Reactions
5 Replies
958 Views
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
1 Reactions
1 Replies
516 Views
Habari za majukumu wananch!. kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe.. eneo ni tambarare ukubwa 30m*70m Bei mil 24.5...
1 Reactions
10 Replies
579 Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
1 Reactions
1 Replies
893 Views
Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot. Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.
1 Reactions
4 Replies
576 Views
Habari zenu wadau, Naulizia kwa Arusha au Dar wapi naweza kupata Baby Rocking chair/Baby swing ya kutumia umeme tafadhali?
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Oven+jiko la umeme linauzwa ni jipya bado. Maana risiti ya mauzo bado ipo Mawasiliano. 0672701329 .....bei ni 230,000/= lipo moshi mjini...free delivery included Kama picha inavyoonekana full...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Tutakayojifunza: (a) Lengo kuu la programu. (b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo. (c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu. (d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa. (e) Dondoo muhimu...
1 Reactions
0 Replies
369 Views
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo. Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori . Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5. Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom