Habari,
Nina dumu 200 za asali mbichi, Lita 20 natafuta wateja ziko Tabora, nzuri sana nyuki wakubwa, imevunwa mwaka Jana,kuhusu bei Lita 20 nauza 130,000 Kwa Kila dumu.
Kwa anayependa kufanya biashara ya platform za AI hizi za Generative (kutengeneza Picha na maandishi)
Nina platform ambayo nilitengeneza na siku itoa public... ninauza Kwa interested buyer...
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma...
Habari wana JF...natafuta kioo(Display) cha SAMSUNG A5 ya Mwaka 2017...Kama kuna mtu ana simu hiyo ambayo imekufa mashine aniuzie kioo. NASHKURU
Sent using Jamii Forums mobile app
TREKKING ADVENTURE ACROSS MOUNT KILIMANJARO AND MOUNT MERU
Welcome to African Yellowstone Safari, where we transform your travel dreams into extraordinary, once-in-a-lifetime adventures. As a...
Habari wadau natafuta Generator Used from Dubai/New Brand iwe Honda EG 1000, iwe katika condition nzuri Niweze kuitumia kwenye kibanda umiza changu. Kama Hautajali Tafadhali nicheck WhatsApp...
District Real Estate Workshop ni kozi maalumu kwa wanachama wa makundi yetu ya TZ REAL ESTATE TEAM (TRT) kwa ajili ya kuchambua taarifa na maarifa kuangazia fursa zipatikanazo katika wilaya...
Kiwanja kipo maramba mawili eneo la king’azi, ukubwa 23 kwa 20,
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari,
2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba...
1. Fukwe za Ziwa Nyasa
2. Ziwa Ngosi
3. Kawetere view point
4. Ziwa Kisiba
5. Maporomoko ya maji Kaporogwe
6. Mpanga Kipengere game reserve
7. Hifadhi ya taifa Ruaha
Unaweza kuongeza...
Habari,
Nauza Kabati la nguo, tv stand, sofa na subwoofer
Kabati la nguo 120000
Tv stand 30000
Sofa 40000
Subwoofer 40000
Vitu vipo mwananyamala biashara complex
Nipigie +255719073206
Note...
Karibu tukupatie VFD kwa bei ya punguzo kwa mwezi huu wa kwanza (January 2023).
Bei ya kawaida ni 300,000/= ila kwa mwezi huu wa kwanza tutakuuzia 280,000/=
VFD ni mfumo unaokuwezesha kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.