Hii inafikirisha Sana, mtu anatoa sadaka Mali Yake kwa Mali kauli, anakupa huduma, unaiona pesa hutumi na bado unamwita tapeli?
Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia...
Hello JF,
Nahitaji kuanza mradi wa chipsi na nahitaji frame au eneo la biashara kwa ajili ya kuendesha mradi.
Nihitaji frame au eneo lililopo Dar na lililo changamka kwa ajili ya kuanzisha mradi...
Wakuu naombeni kufahamu bei ya hizi dawa
1.viagra
2.Erecto
3.Sildenafil
4.vimbi la mkongo
5.Mkongo raha
Na ipi nzuri atlist haina madharaaa sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wasalaam,
Kwa wale wanaotaka kuanzisha NGO ama zile zilizokwisha kuanza ipo changamoto moja kubwa ya kupata ufadhili wa miradi.
Hata hivyo kabla ya kuwaza ufadhili, Suala la mifumo linaanza...
Habari Mpendwa!!,
Steam Generation Recovery & Real Estate Ltd Tunapenda kukujulisha kuwa Kwa Sasa tunamradi Mpya wa Viwanja vya makazi Mradi wetu upo Kibaha - Vikawe
𝗩𝗜𝗞𝗔𝗪𝗘 𝗖𝗘𝗡𝗧𝗘𝗥 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗥𝗔𝗗𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨...
[emoji91]Subaru Forester zipo 4 zimeshuka bei
1) Subaru Forester ya 2011 black no EBD non turbo bei 23.8M
2) Subaru Forester no EDL ya 2009, nyeupe bei 23.8M
3) Subaru Forester Chasis number...
Members habari zenu.
Ninapesa za kigeni ila ni "coins" natafuta wa kunibadirishia, nimetembelea mabenki na maburea hapa Dar es salaam hawabadirishi pesa za coins. Anayeweza kunisaidia na...
Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500
Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote
Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo
Nipo Mbezi Stand ya Magufuli
TAYARI...
Nauza External Hard Drive aina ya Transcend yenye ukubwa wa GB 1000
Haina changamoto ya aina yoyote na ukiinunua ndio utaamini nilikua nasema kweli au natania.
MREJESHO
Imeshauzwa
Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ).
Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka...
Wapendwa natafuta bucha linalouza nyama ya mbuzi Dar es Salaam
Ni muda mrefu sana sijapata hii nyama mwenye connection atoe location na namba zao za simu
Natafuta nyumba ya NHC maeneo ya Upanga au posta mwenye uwelewa na hatua za kufata ili uweze kupata anijuze Tafadhali na bei pia ni shilingapi kupanga.
Lige Smart Watch
Genuine Assured[emoji736]
answer Calls & Make Calls and Msg[emoji736]
Get an extra Strap
Measure[emoji736]
7 days with Charge [emoji736] Steps, Calories, Steps, Weather [emoji736]...
Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste),
Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s
GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590[emoji95][emoji95]
Kg 15 inatembea km 230
Kg 11 unatembea km...
Based on Dar es salaam & Zanzibar.
Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services.
For first & Reliable Services call us First...
Kwa mwenye uhitaji wa gari hii hapa,
Aina ya gari: Passo,
Piston 3,
CC 990
Gari ipo Dar es salaam, ukitaka kuiona nipigie kwa namba 0686866276
Nimeitumia kwa bolt na Uber kuanzia mwezi July...
Habari wana jamvi, natafuta soko la pumba za mahindi.
Kwa sasa nina jumla ya gunia 1,000 zenye ujazo wa debe saba kila moja.
Mahali: Kasulu Kigoma
Mawasiliano: +255 76 2 061 694
Ahsanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.