Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii inafikirisha Sana, mtu anatoa sadaka Mali Yake kwa Mali kauli, anakupa huduma, unaiona pesa hutumi na bado unamwita tapeli? Watanzania tunafail Sana. Tubadilike, maisha kwa Sasa yamehamia...
4 Reactions
7 Replies
485 Views
Habari! Natafuta mtu anayeuza ama kutengeneza vikapu vya asili ama upatikanaji wake Kwa yeyote mwenye kujuwa. msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
537 Views
Hello JF, Nahitaji kuanza mradi wa chipsi na nahitaji frame au eneo la biashara kwa ajili ya kuendesha mradi. Nihitaji frame au eneo lililopo Dar na lililo changamka kwa ajili ya kuanzisha mradi...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naombeni kufahamu bei ya hizi dawa 1.viagra 2.Erecto 3.Sildenafil 4.vimbi la mkongo 5.Mkongo raha Na ipi nzuri atlist haina madharaaa sana. Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
46 Replies
22K Views
Wasalaam, Kwa wale wanaotaka kuanzisha NGO ama zile zilizokwisha kuanza ipo changamoto moja kubwa ya kupata ufadhili wa miradi. Hata hivyo kabla ya kuwaza ufadhili, Suala la mifumo linaanza...
3 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari Mpendwa!!, Steam Generation Recovery & Real Estate Ltd Tunapenda kukujulisha kuwa Kwa Sasa tunamradi Mpya wa Viwanja vya makazi Mradi wetu upo Kibaha - Vikawe 𝗩𝗜𝗞𝗔𝗪𝗘 𝗖𝗘𝗡𝗧𝗘𝗥 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗥𝗔𝗗𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
[emoji91]Subaru Forester zipo 4 zimeshuka bei 1) Subaru Forester ya 2011 black no EBD non turbo bei 23.8M 2) Subaru Forester no EDL ya 2009, nyeupe bei 23.8M 3) Subaru Forester Chasis number...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Members habari zenu. Ninapesa za kigeni ila ni "coins" natafuta wa kunibadirishia, nimetembelea mabenki na maburea hapa Dar es salaam hawabadirishi pesa za coins. Anayeweza kunisaidia na...
0 Reactions
5 Replies
910 Views
Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500 Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo Nipo Mbezi Stand ya Magufuli TAYARI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza External Hard Drive aina ya Transcend yenye ukubwa wa GB 1000 Haina changamoto ya aina yoyote na ukiinunua ndio utaamini nilikua nasema kweli au natania. MREJESHO Imeshauzwa
0 Reactions
11 Replies
2K Views
GB 32 ram 2..hain ttzo location; dare slam-mbibo call 0656376814 WhatsApp ; 0755056814 lofto
0 Reactions
2 Replies
486 Views
Kwa mahitaji ya kutaka kujua gharama halisi utakazotumia katika kukamilisha ujenzi wa jengo lako (BOQ). Natoa huduma ya kufanya mchanganuao wa idadi halisi ya materials utakazotumia mpaka...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapendwa natafuta bucha linalouza nyama ya mbuzi Dar es Salaam Ni muda mrefu sana sijapata hii nyama mwenye connection atoe location na namba zao za simu
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya NHC maeneo ya Upanga au posta mwenye uwelewa na hatua za kufata ili uweze kupata anijuze Tafadhali na bei pia ni shilingapi kupanga.
1 Reactions
40 Replies
14K Views
Lige Smart Watch Genuine Assured[emoji736] answer Calls & Make Calls and Msg[emoji736] Get an extra Strap Measure[emoji736] 7 days with Charge [emoji736] Steps, Calories, Steps, Weather [emoji736]...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste), Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590[emoji95][emoji95] Kg 15 inatembea km 230 Kg 11 unatembea km...
5 Reactions
40 Replies
8K Views
Based on Dar es salaam & Zanzibar. Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services. For first & Reliable Services call us First...
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Waungwana natafuta mtu anaeuza Passo bajet yangu Mil 3.
3 Reactions
55 Replies
3K Views
Kwa mwenye uhitaji wa gari hii hapa, Aina ya gari: Passo, Piston 3, CC 990 Gari ipo Dar es salaam, ukitaka kuiona nipigie kwa namba 0686866276 Nimeitumia kwa bolt na Uber kuanzia mwezi July...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, natafuta soko la pumba za mahindi. Kwa sasa nina jumla ya gunia 1,000 zenye ujazo wa debe saba kila moja. Mahali: Kasulu Kigoma Mawasiliano: +255 76 2 061 694 Ahsanteni sana.
1 Reactions
2 Replies
817 Views
Back
Top Bottom