Kufokasi ni msingi mojawapo muhimu sana sana kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo. Bila kufokasi kwenye maeneo nitakayoainisha hivi punde haiwezekani kujenga himaya ya utajiri kwa wakati muafaka...
Habari wakuu!
Nina dagaa nyama wengi Sana kutoka Tanga,naomba munijuze wapi Kuna SOKO la uhakika kwenye mikoa yetuu.Pia wenye uzoefu wa biashara hii kwa mikoani.
Location: Songea Mjini (Mateka)
Ukubwa: nusu hekari
HATI miliki IPO
Umeme, maji
Bei ni 6 million
Contact: 0758234233
Mbeele
..
,.
NYUMa
Umbali ni kama dakika 5 tu Toka Songea Mjini(Usafiri
Wakuu ninauza TV tajwa hapo juu ni yangu mwenyewe
Vipengele:
Mfuniko wa remote haufungi hii niliuziwa hivihivi kwa sababu wakati nanua remote ilikuwa kwenye kimfuko chake so sikugundua hadi...
1. Singapore International Graduate Award (SINGA)
https://opportunityportal.info/singapore-government-singa-scholarship/
2. Deakin University Scholarship...
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
naomba kuuliza wakuu hii piki piki ni inzuri sio kimuonekano apana perfomance yake kwenye barabara korofi na lami? pia vifaa vyake na mafundi wakawaida wana zitengeneza?
Nokia yangu naiuza nami nisherekee Mapinduzi kwa wali nazi. Bei 19000/= Tshs,yaan elfu kumi na tisa tu.
Inakaa na chaji mpaka unaboeka. Nipo Kigamboni kwa steven hapa.
Piga simu moja 0625697394...
Habari mdau,
Kama upo Mbeya, Nanenane au Tukuyu inajishughulisha na duka la pembejeo na una mbegu za Mchongoma kwa ajili ya fensi.
Tokea chap nikupe dili.
Asante.
MIZANI YA KUPIMIA MADINI ZINAPATIKANA
TUPO DAR ES SALAAM, tunadeliver bure Dar es Salaam.
Bei ya OFA Tshs. 50,000 badala ya Tshs. 60,000 (Tunadeliver Bure Dar es Salaam)
Pia tunauza kwa bei ya...
Karibu ATR CONSTRUCTION CO LTD, tunafanya Design ya ramani, kufanya makadilio ya gharama ZA ujenzi, na kufanya ujenzi kabisa.
[emoji625]Ofisi ZETU ZIPO UBUNGO NHC NR UBUNGO PLAZA-DAR
TUPIGIE...
Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4
Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v)
Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales)
Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10
Price...
Mimi ni mbobezi katika kutafuta location za biashara kwa wenye mitaji.
Niko DAR ES SALAAM Kona zote nazijua
Comment mtaji wako nikupe wazo la biashara n'a location au nuchek pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.