Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kufokasi ni msingi mojawapo muhimu sana sana kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo. Bila kufokasi kwenye maeneo nitakayoainisha hivi punde haiwezekani kujenga himaya ya utajiri kwa wakati muafaka...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza Abaya kwa bei ya Januari Tsh 30,000. Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Habari wakuu! Nina dagaa nyama wengi Sana kutoka Tanga,naomba munijuze wapi Kuna SOKO la uhakika kwenye mikoa yetuu.Pia wenye uzoefu wa biashara hii kwa mikoani.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Location: Songea Mjini (Mateka) Ukubwa: nusu hekari HATI miliki IPO Umeme, maji Bei ni 6 million Contact: 0758234233 Mbeele .. ,. NYUMa Umbali ni kama dakika 5 tu Toka Songea Mjini(Usafiri
1 Reactions
5 Replies
392 Views
Wakuu ninauza TV tajwa hapo juu ni yangu mwenyewe Vipengele: Mfuniko wa remote haufungi hii niliuziwa hivihivi kwa sababu wakati nanua remote ilikuwa kwenye kimfuko chake so sikugundua hadi...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
1. Singapore International Graduate Award (SINGA) https://opportunityportal.info/singapore-government-singa-scholarship/ 2. Deakin University Scholarship...
5 Reactions
47 Replies
7K Views
Nahitaji kukodisha trekta kwa ajili ya kusafiaha shamba maeneo ya Tuangoma. Wapi naweza kupata trakta la kukodi hapa Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
911 Views
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
2 Reactions
5 Replies
792 Views
naomba kuuliza wakuu hii piki piki ni inzuri sio kimuonekano apana perfomance yake kwenye barabara korofi na lami? pia vifaa vyake na mafundi wakawaida wana zitengeneza?
1 Reactions
1 Replies
755 Views
Nokia yangu naiuza nami nisherekee Mapinduzi kwa wali nazi. Bei 19000/= Tshs,yaan elfu kumi na tisa tu. Inakaa na chaji mpaka unaboeka. Nipo Kigamboni kwa steven hapa. Piga simu moja 0625697394...
0 Reactions
3 Replies
431 Views
TOYOTA IST (DMX) Year 2005 Engine 1NZ Cc 1290 Haina shida yyt Ile Bei 10.9mls
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nauza Toyota Hiace inapiga Daladala Mwanza, bei milioni 10 tu, maongezi yapo. Mawasiliano 0753311398
0 Reactions
1 Replies
783 Views
Habari mdau, Kama upo Mbeya, Nanenane au Tukuyu inajishughulisha na duka la pembejeo na una mbegu za Mchongoma kwa ajili ya fensi. Tokea chap nikupe dili. Asante.
1 Reactions
0 Replies
696 Views
MIZANI YA KUPIMIA MADINI ZINAPATIKANA TUPO DAR ES SALAAM, tunadeliver bure Dar es Salaam. Bei ya OFA Tshs. 50,000 badala ya Tshs. 60,000 (Tunadeliver Bure Dar es Salaam) Pia tunauza kwa bei ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibu ATR CONSTRUCTION CO LTD, tunafanya Design ya ramani, kufanya makadilio ya gharama ZA ujenzi, na kufanya ujenzi kabisa. [emoji625]Ofisi ZETU ZIPO UBUNGO NHC NR UBUNGO PLAZA-DAR TUPIGIE...
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Samahanini wajumbe ila nlikua naulizia sehemu wanauza mbegu za michongoma na bei yake ikoje?naweza kupata msaada wa contact za wauzaji
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4 Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v) Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales) Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10 Price...
1 Reactions
426 Replies
27K Views
Nakodisha gari aina ya nissan patrol gr kwa matumizi private na tour mawasiliano 0745434945 Gari ipo Dar
1 Reactions
5 Replies
661 Views
3 Rooms with A/C Servant Quarters Available 600,000 per month > Unfurnished 900,000 per month > Furnished Dm your offers, tufanye biashara.
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni mbobezi katika kutafuta location za biashara kwa wenye mitaji. Niko DAR ES SALAAM Kona zote nazijua Comment mtaji wako nikupe wazo la biashara n'a location au nuchek pm
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom