Edwin Minja
Member
- Aug 10, 2013
- 53
- 70
HELP ni jiko gani la gesi lililo zuri zaidi ? imara na linalotumia gesi kidogo?
Thanks.
Thanks.
Hata Aborder nayo ni nzuri sana. Nilichukua kwa 70kHELP; ni jiko gani la gesi lililo zuri zaidi ? imara na linalotumia gesi kidogo ?
Thanks.
La plate mbili au 4/6HELP; ni jiko gani la gesi lililo zuri zaidi ? imara na linalotumia gesi kidogo ?
Thanks.
ooh ! nimeyaona sana kariakoo nilipita leo, linatumia gas kdg ?NIKAI, hutajutia
nilipita kkoo sijaona aborder kbs, nilitaka hitachi ila sikupata pia.. nimekuta westpoint, nikai nkHata Aborder nayo ni nzuri sana. Nilichukua kwa 70k
Moja inakuwa na jiko linalotoa moto mkali na lingine kidogo (linakuwa na wavu)
WEST POI
thanks, nadhani nimeshortlist westpoint na nikai, niliambiwa na vonWEST POINT
plate 2 mkuu linanitoshaLa plate mbili au 4/6
Westpoint..
Bruhm…
😁😁 poapoa, sema inabidi ujue brand right away !!Nitarudi ngoja niangalie hili langu
Hahah sasa kaka nyumba zetu hizi za kupanga kila space ina mtu na ina matumizi jiko la kuni utaliweka wapi ?!Kachukue la kuni pale aido mkuu...
Kuni moja unapikia wali na maharage bila moshi..
Bruhm hapanaLa plate mbili au 4/6
Westpoint..
Bruhm…
Hivi ni vitu vya electronic vinasaidia sana kwa watu ambao hawajui.Mkuu hadi manunuzi ya jiko la gesi unakuja kutafuta ushauri?
it is a gas burner not electronic device, sema ni samani tu za nyumbaniHivi ni vitu vya electronic vinasaidia sana kwa watu ambao hawajui.
Amini hivyo
Hapo mzee ongezea na Pressure cooker ya umeme (6.8L ni 130k)plate 2 mkuu linanitosha
Hivi mtu akiuliza wewe mkuu unaumia wapi, kuna watu wengi sana walikua na swali hilo wanakuja wana angalia majibu kimya kimya wanaondoka, tulieni basi wajuaji.Mkuu hadi manunuzi ya jiko la gesi unakuja kutafuta ushauri?
nakazia hapa.Hapo mzee ongezea na Pressure cooker ya umeme.
Unaweka zako maharagwe, nyama n.k na unaweza kuhamishia kwenye gesi ukaunga.