Wanabodi, naomba niwataarifu kuwa nauza kuku wa kisasa, huu ni mwezi wa nne tangu nianze kuwafuga, Bei yake shs elfu 8, (Tshs 8000) kwa kuku mmoja. MWENYE KUHITAJI nitumie PM
Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing...
Kiwanja kinauzwa, mkoani MTWARA, maeneo ya Mji mwema kwa mawasiliano pia namba.
0755671568 na 0654546353.
N:B Mawasiliano yafanyika kuanzia jioni kwani muda mwingi nipo darasani.
Wadau, natafuta nyumba ya kupanga yenye spec zifuatazo.
Idadi ya vyumba vya kulala : 2
Sebula,
Choo cha ndani,
Maji,
Parking,
Maeneo ni Ubungo,
Mabibo,
Sinza.
Tabata.
N.B. Sio lazima iwe nyumba...
trekita aina ya new holland td80d inatoa huduma ya kulimiwa mashamba kwa bei powa
kwa wakulima wa 1;malinyi Ifakara
2;mvomero
3;kiteto
4;tanga
5;chalize
Kwa Sasa Tupo Tanga Pongwe...
Taarifa: Tembelea KWARE TANZANIA
1. Banda hili lina uwezo wa kubeba kware 250 - 300
2. Banda hili linauwezo wa kuwahudumia chakula kware 80 kwa wakati mmoja na kuwahudumia maji kware 60 kwa...
Fremu ya biashara iliyoko Mbeya Karibu na uwanja wa sokoine nyuma ya TRA inauzwa kuanzia milioni7 (bei inapungua).Fremu ni nzuri na kubwa unayoweza kufanyia biashara yoyote,ina grill kubwa ya...
Wakuu hamjamboni?
Mwenzenu nina hitaji la kununua Printer.
Printer ninayohitaji ni ile ambayo pamoja na shughuli nyingine za kawaida itaweza Kuprint vipeperushi vya wagombea mbali mbali wakati...
habari wana jamvi nina kiwanja karibu na stand ya kimanga dsm kinauzwa bei ni maelewano.ni hatuwa chache tu kutoka hapo stand.kwa maelezo zaidi contact 0787885141, kuanzia saa mbili asubuhi hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.