Kiwanja kinauzwa Mkoani Mtwara

Kiwanja kinauzwa Mkoani Mtwara

real toxic

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
533
Reaction score
104
Kiwanja kinauzwa, mkoani MTWARA, maeneo ya Mji mwema kwa mawasiliano pia namba.
0755671568 na 0654546353.
N:B Mawasiliano yafanyika kuanzia jioni kwani muda mwingi nipo darasani.
 
Kiwanja kinauzwa, mkoani MTWARA, maeneo ya Mji mwema kwa mawasiliano pia namba.
0755671568 na 0654546353.
N:B Mawasiliano yafanyika kuanzia jioni kwani muda mwingi nipo darasani.

Kwa kuwa muda mwingi uko darasani,tujuze ya fuatayo ili kupunguza usumbufu,
1.Ukubwa wa Eneo Kwa mita za mraba
2.Kina hati au offer
3.Elezea kidogo juu ya miundombinu
 
Ukubwa ni skwea mita 400, miundo mbinu iko ppa maana ndo eneo linalojengeka kwa sasa hapa mkoani mtwara
 
Back
Top Bottom