Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing...
Kiwanja kina Hati, ukubwa sqm 1492, ni umbali 7km kutoka feri ya Kigamboni na hakiko mbali na barabara ya lami. Bei ni 70m.
Kwa mahitaji ya kiwanja hiki na vingine tuwasiliane: 0657 145 555.
Kina ukubwa wa nusu eka kipo Chanika mtungini karibu na shule ya secondary chanika.
Bei 12mil
0784198482.
Ukiwekeza kwenye ardhi hutojutia hela yako baada ya mwaka mmoja utakiuza mara mbili...
Nyumba inauzwa, Ipo Dar es salaam, maeneo ya Sinza, Barabara ya Shekilango, Block "B" mita sitini kutoka barabarani. Bado ipo katika hali nzuri na kuna fremu tatu za maduka, bei ni milioni 400 tu...
Kina ukubwa wa nusu eka kipo Chanika tungini karibu na chanika secondary.
Bei 12mil.
Contact 0784 198482
Dalali on one condition zangu 12mil cashcash
Ndugu zangu wekeza kwenye hiki...
Habari zenu wakaka na wadada
This sms goes to all men out there.
Nauza Vitz nzuri kabisa kwa bei poa kabisa ipo kwenye hali nzuri haina tatizo lolote sasa kwa nini kama unauwezo usimchukulie...
Ndgu nina htaji ya kujua wapi wanapouza bello za mitumba nguo za watoto kwa dar.. Kama wewe unauza ntafte namba hzi. 0688053521 whatsap au 0657504159 sms/call
Engine imefunguliwa kwenye gari nzima inayotembea. Kwakuwa ni model ya umeme, crankshaft sensor na vgt valve hazipatikani. Kila kitu kingine kizima. Spare zote zilizobaki zinaingiliana na 4D56 ya...
Wanabodi, naomba niwataarifu kuwa nauza kuku wa kisasa, huu ni mwezi wa nne tangu nianze kuwafuga, Bei yake shs elfu 8, (Tshs 8000) kwa kuku mmoja. MWENYE KUHITAJI nitumie PM
Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing...
Kiwanja kinauzwa, mkoani MTWARA, maeneo ya Mji mwema kwa mawasiliano pia namba.
0755671568 na 0654546353.
N:B Mawasiliano yafanyika kuanzia jioni kwani muda mwingi nipo darasani.
Wadau, natafuta nyumba ya kupanga yenye spec zifuatazo.
Idadi ya vyumba vya kulala : 2
Sebula,
Choo cha ndani,
Maji,
Parking,
Maeneo ni Ubungo,
Mabibo,
Sinza.
Tabata.
N.B. Sio lazima iwe nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.