Jipatie iPad mpya kabisa aina ya Apple from USA

Jipatie iPad mpya kabisa aina ya Apple from USA

Sorry nilisahau picha nimeshindwa kuziweka kwa simu yangu nikifanya editing haitoi option ya image attachment.
 

Attachments

  • 1427270282599.jpg
    1427270282599.jpg
    41.2 KB · Views: 461
  • 1427270303678.jpg
    1427270303678.jpg
    54.8 KB · Views: 393
  • 1427270340024.jpg
    1427270340024.jpg
    63.4 KB · Views: 388
  • 1427270401636.jpg
    1427270401636.jpg
    57.9 KB · Views: 367
Mkuu tangazo lako ni endelevu au ukishauza hii moja na we ndo biashara unafunga duka?
 
Rekebisha heading. Ukisema ipad inatosha, ukisema ipad aina ya apple inatoa tafsiri kuwa kuna aina nyinginezo za ipad ambazo si Apple.
 
Zipo za samsung, sony, lg, huawei, tecno, lenovo n.k

Hapana ,ni sawa useme unaenda sheli kuweka mafuta kumbe unaenda kituo cha mafuta mfano oilcom,hii inatokana kua apple ni leader kwenye market ya tablets ndo maana jina la tablets zake(iPad) limekua universal.
 
Nahitaj ipad aina ya Sony Ericsson mkuu, hahah
 
tatzo nilinunua moja, aisee ipad ukiingia playstore vi application kibao wanauza vichache unadiwnload bure, pili lazima uwe na apple account ndo u download, tatu niliokuwa nayo haina option ya kupiga sim cjui hizo zako mkuu.....
punguza bei lak 4 atleast
 
Back
Top Bottom