Gari inauzwa

Gari inauzwa

kitali

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
6,322
Reaction score
9,643
ni kluger new model ya mwaka 2012 bei ni milion 90
 
Mbona hujaweka details? Inaonekana hujiamini na hiyo bei uliyotuwekea.
 
detail kivp tena mimi ndio muuzaji Sema nina picha nimeshindwa kuziweka. nipigie 0786614846 ipo Dar hapa
 
kwa ushauri tu angalau umekosea jukwaa, vitu vifuatavyo vingehusika sana kwenye tangazo lako:
1. Rangi
2. Mileage
3. Engine size (CC)
4. Picha za gari husika
5. Any mechanical problem
6. Is a price negotiable?
7. Location ya gari husika
8. Je imeingia Tanzania mwaka gani (Angalau I'm not sure kama ipo Tanzania)
9. Vitu muhimu, kama vile motor vehicle, Insurance n.k vimelipiwa, na vinaisha lini?
10. Kama ipo Tanzania je imetembea miaka mingapi?
11. Je imeshawahi kufanya long journey?
12. Imekaa mikononi mwa watu wangapi Tangu imefika Tanzania (Kama ipo Tanzania of course)
13. Mwisho kabisa anayeendesha hiyo gari ni mwanamme au mwanamke?
Kisha lazima useme wewe ndiye mwenye gari au ni dalali.
Huu ni ushauri tu unaweza vile vile kutupa kapuni, 90m ni nyingi eti, kwa hiyo lazima tujue mengi juu ya hiyo gari.
 
kwa ushauri tu angalau umekosea jukwaa, vitu vifuatavyo vingehusika sana kwenye tangazo lako:
1. Rangi
2. Mileage
3. Engine size (CC)
4. Picha za gari husika
5. Any mechanical problem
6. Is a price negotiable?
7. Location ya gari husika
8. Je imeingia Tanzania mwaka gani (Angalau I'm not sure kama ipo Tanzania)
9. Vitu muhimu, kama vile motor vehicle, Insurance n.k vimelipiwa, na vinaisha lini?
10. Kama ipo Tanzania je imetembea miaka mingapi?
11. Je imeshawahi kufanya long journey?
12. Imekaa mikononi mwa watu wangapi Tangu imefika Tanzania (Kama ipo Tanzania of course)
13. Mwisho kabisa anayeendesha hiyo gari ni mwanamme au mwanamke?
Kisha lazima useme wewe ndiye mwenye gari au ni dalali.
Huu ni ushauri tu unaweza vile vile kutupa kapuni, 90m ni nyingi eti, kwa hiyo lazima tujue mengi juu ya hiyo gari.

Umemaliza kila kitu hapa
 
hahaha. haya bana iko hiv. Gari ni ya kwangu nimeinunua Japan mwezi wa kumi mwaka jana. na nilinunua dola elfu 20 kilichoniudhi ilipofika hapa ushuru ni milion 35 plus blablaa kibao bandarin nimeitoa mwezi wa 12 na ilikuja ikiwa imetembea km. 38000 na huwez kuamini tangu ije nimeiweka ndani tu nilitoka nayo cku moja tu nikaenda nayo Posta bac. ni rangi nyeusi broda mi sio dalali ndio mmiliki kama unaweza nielekeze jinsi ya kutuma picha ndio uione vizuri ila Gari kama gar iko vizuri sana
 
hahaha. haya bana iko hiv. Gari ni ya kwangu nimeinunua Japan mwezi wa kumi mwaka jana. na nilinunua dola elfu 20 kilichoniudhi ilipofika hapa ushuru ni milion 35 plus blablaa kibao bandarin nimeitoa mwezi wa 12 na ilikuja ikiwa imetembea km. 38000 na huwez kuamini tangu ije nimeiweka ndani tu nilitoka nayo cku moja tu nikaenda nayo Posta bac. ni rangi nyeusi broda mi sio dalali ndio mmiliki kama unaweza nielekeze jinsi ya kutuma picha ndio uione vizuri ila Gari kama gar iko vizuri sana

Mkuu unauza gari kama unauza unga hivii!! Weka details basi za injini basi! Watu wengi magari yao yanaishia bandarini kisa ushuru. Sasa kama ndinga hii dumping fee hamna wanakupiga bei ya gari aisee bongo hii!
 
hahaha. haya bana iko hiv. Gari ni ya kwangu nimeinunua Japan mwezi wa kumi mwaka jana. na nilinunua dola elfu 20 kilichoniudhi ilipofika hapa ushuru ni milion 35 plus blablaa kibao bandarin nimeitoa mwezi wa 12 na ilikuja ikiwa imetembea km. 38000 na huwez kuamini tangu ije nimeiweka ndani tu nilitoka nayo cku moja tu nikaenda nayo Posta bac. ni rangi nyeusi broda mi sio dalali ndio mmiliki kama unaweza nielekeze jinsi ya kutuma picha ndio uione vizuri ila Gari kama gar iko vizuri sana

Dola elf 20 ni kama milion 36 hivi, ukichanganya na hiyo kodi inakuwa milion 71. We mwehu kweli yan, sasa unauza milion 90? who gonna buy that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom