Tunakata viwanja maeneo haya:-
Bunju km 1 kutoka bagamoyo road 30 kwa 40 bei 16.5ml
Mwanzoni mwa mapinga mbele kidogo ya bunju B km 2 kutoka bagamoyo road 20 kwa 25 bei 7ml
Goba karibu na stand...
Salam wadau...nimeuza gari langu na nimeagiza lingine nahitaji gari ya kukodi kwa bei nzuri (fair) kwa wiki 3...kuanzia carina...premio..vits...gx100..ilimradi iwe nzima tu.Naomba mwenye nalo au...
wadau salaam ziwafikie huko mliko
jaman nahitaj fund mzur wa
wa ujenz ambaye anaefanya deco wall.. hasa nahitaj concrete wall stamping na floor stamping..
anaeweza ani PM ama kama kuna mtu...
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa December, 2015 na TDTC pale UDSM, iko imara sana.
Kwa bei ni 900,000 (Maelewano...
Habari wana JF kama kakichwa kalivyojieleza natengeneza application za simu android kwa Tsh 50000 Tu app ninazotengeneza ni za blog/web za habari na makala n.k
ni cheki whatsapp/call
759202132...
Wasalaam waleikhu na bwana asifie kwenu, natumaini nyote mnaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa Taifa letu hili.
Dhumuni la kuandika thread hii ni kupenda kuwatangazia umma kuwa nauza maeneo...
Aina : Isuzu siti 30 ilkua school bus.. inauzwa baada ya shule kufilisika ipo vizuri bei milioni 13.. kwa mawasiliano 0654314066
0768240404
0688314066
Npo ubungo riverside.
N dugu wana JF, nawasalimu nyote. Nipo kny hili jamvi kwa muda na nimejifunza mengi, leo kwa mara ya kwanza nimepata ziada ya kipato na nina Tsh.Milioni 6 na ningependa kuifanyia hii pesa kitu...
Habari wakuu,
Ninaomba mwenye ufahamu wa walipo agents (Maduka) wa kuuza simu za Tecno hapa Dar anijulishe.Pia ningependa kujua bei ya Phantom Z na Phantom 5 mpya ikoje (Jumla na rejareja)...
Meneja Masoko wa shirika la DKT International Tanzania Bw. Davis Kambi (Katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa bahati nasibu iliyochezeshwa na shirika hilo wakati wa uzinduzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.