Wanajamvi ni kawaida ya JF kufundishana na kushauriana mambo mbalimbali.
Leo naomba kwa mwenye kujua sehemu ninapoweza kupata bati za rangi maarifu "msauzi" zenye migongo ya kawaida futi 10 kwa...
Amani iwe juu yenu wadau wote JF.
Nilikua nauliza kwa anaejua wapi naweza kupata tende (in large quantity) kama vile 20kg box au zaidi.Yaani kuna yale maduka huwa wanauza tende kwa jumla (ma box...
Nauza simu hizo kwa bei rahisi wasiliana nami kupitia 0758728258,0688080008
Samsung galaxy s4 mpya 390,000
Samsung galaxy s3 mpya 320,000
Iphone 5 used(black 470,000)
Maongezi yapo wasiliana nami...
BISHARA MATANGAZO!! GENERATOR LA MTUMBA LINAUZWA LIMETUMIKA MASAA MACHACHE LINA KVA 4400 LINA TAN 14 SINGLE NA 3 PHASE V 230 KWA 6300 LIMETENGENEZWA JAPAN NA CAMPUNY YA MITSUBISHI BEI YAKE NI...
Ninauza Ovena aina ya STERLING ni nzuri na inafanya kazi kama kawaida. Naiuza kwasababu ninashida sana. Bei yake ni 200,000 tu karibuni sana. Kwa mawasiliano piga 0717441943 na 0655441943 na...
Kiwanja kinauzwa mbezi makabe, njia panda ya msakuzi. Kina ukubwa wa meter 45 kwa 28. Huduma za kijamii kama umeme na barabara vipo. Kina ukuta pande 3 tayari. Bei ni 22m...mnunuzi apige 0784 966 977
Kina ukubwa wa meter 45 kwa 28... Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na barabara. Kina kuta pande 3 tayari. Bei 22 million.
Serious buyer: 0784 966 977
Salama wakuu;
Ninauza kiwanja/shamba. Ukubwa ni SQM 400 Eneo kilipo ni Bunju B, Bei ni 4M. Kiwanja kipo sehemu nzuri, maji yapo, umeme nao tayari umeshafika eneo husika. Kwa anayehitaji...
Wadau,
Nahitaji matofali ya Kuchoma (Sio Inter-locking) kwa ajili ya kujengea mabanda ya mifugo maeneo ya Mbutu-Kigamboni. Matofali haya ni yale yanayopatikana kwa kuchomwa tofali la udongo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.