Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta Photocopy machine na printer zilizo bora na Imara kwa ajili ya biashara ya stationary, kwa affordable price.
2 Reactions
25 Replies
12K Views
Habari wa ndugu mimi nipo DSM nimekomaa mtaani kazihakuna nimefanya vibarua nimebahatisha kupata mil3 sasa nataka nijiajiri kwakazi za stationery, je kwa hiyo pesa naweza kupata msaada wa kununua...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Natafuta mkanda au video ya mazishi ya Nyerere.Mwenye nayo tunaweza kuongea biashara. Au anaefahamu ninapoweza kuipata anitumie email tinogobba2002@yahoo.com. Thanx.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini wadau mi natafuta photocopy machine Canon Image Runner Tuwasiliane kwa namba 0763 385 995 ila awe mwanza
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta Fane ya photocopy machine canon ir 2318 contacts 0713 933110 Pia nauza laptops kwa bei nafuu toka America used
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta cannon IR2018 au IR2202 bajeti yangu isizidi milioni moja. Nipo dar mwenye nayo karibu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta copy machine yenye uwezo wa kugeuza karatasi. Iwe used. Nawasilisha.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau naomben msaada wadau. natafuta drum unit ya photocopy mashine aina ya IR 1600. Nipo Dar es salaam. Tafadhali mtu yeyote anayejua anisaidie kwa kunielekeza mahali naweza kuinunua (zinapouzwa)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vifaa vya stationari; *Computer mbili zenye uwezo mkubwa *Photocopy mashine moja *photo printer 1 *safari moderm 1 *heavy duty stapler 1 Kama kuna sehem vpo nijulishe model na bei inbox.. Niko...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Natafuta printer aina laserjet na photocopy machine aina ya canon au Ir kama unayo wasiliana nami printer mpya photocopy hata km ni used contact me
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapi jamani nitapata bei ya jumla ya vifaa vya stationery kwa bei nzuri.. Asanteni..
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Hello wadau wote wa JF, napenda kufahamu ni wapi hapa Dar ninaweza ku-change ile mikanda ya Matofali (VHS) kuwa DVDs? ninaomba msaada kujuzwa kwa yeyote yule mwenye kufanya hiyo kazi au kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wapendwa naomba kama kuna mtu mwenye ufahamu wapi naweza pata CD,VHS,VCD au DVD za mambo ya watoto anifahamishe .. Mwanangu anacatch vitu mapema mno na akishika hasahu sasa kabla hajaanza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wapi wanabadili vhs kuwa dvd au vcd? Anayejua ani pm
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa bei ya KUTUPA KABISA nawaletea mali mpya KUTOKA nje ya nchi. BEI za bidhaa ziko kwenye picha, nauza kwa gram 1 shilingi 5,500 tu. Rozari zipo za gram 24 naziuza kwa 132,000 Pia zipo za gram...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa wanaohitaji kutengenezewa blog kwa shughli mbalimbali kama kutangaza bidhaa au kwa matumzi mengine binafsi..contact me: 0718510909 0756-769387 kwa tsh 15,000 tu WAHI SASA.. BLOG SAMPLE : zejungu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kiwanja kipo eneo la kigamboni njia ya Dege kituo shule, ukubwa wake bado hatua chache kifike Robo Acre, katikati ya kiwanja kuna nyumba kubwa ilikuwa tayari ishaaza kujengwa imefikia nusu. bei...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
2600 mAH, Ndogo na Inavutia. Imechaguliwa kama Power Bank bora ya mwaka 2015. Inaweza kuchaji Iphones, Androids na Simu, PDA na Laptops nyinginezo. Bei ni nafuu sana ikilinganishwa na ubora...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Husika kichwa hapo juu yeyote aliyenayo au anayejua zinapopatikana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wanaohitaji kutengenezewa blog kwa shughli mbalimbali kama kutangaza bidhaa au kwa matumzi mengine binafsi..contact me: 0718510909 0756-769387 kwa tsh 15,000 tu WAHI SASA.. BLOG SAMPLE: zejungu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom